来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
nilikusudia kupita kwenu nikiwa safarini kwenda makedonia, na wakati wa kurudi pia, ili nipate msaada wenu kwa safari yangu kwenda yudea.
and to pass by you into macedonia, and to come again out of macedonia unto you, and of you to be brought on my way toward judaea.
yesu alitoka hapo akaenda mkoani yudea na hata ng'ambo ya mto yordani. umati wa watu ukamwendea tena, naye akawafundisha tena kama ilivyokuwa desturi yake.
and he arose from thence, and cometh into the coasts of judaea by the farther side of jordan: and the people resort unto him again; and, as he was wont, he taught them again.
herode aliamuru ufanywe msako lakini hawakuweza kumpata. hivyo aliamuru wale askari wahojiwe, akatoa amri wauawe. halafu akatoka huko yudea akaenda kaisarea ambako alikaa.
and when herod had sought for him, and found him not, he examined the keepers, and commanded that they should be put to death. and he went down from judaea to caesarea, and there abode.
lakini yosefu aliposikia kwamba arkelao mwanawe herode alikuwa mfalme wa yudea mahali pa baba yake, aliogopa kwenda huko. naye baada ya kuonywa katika ndoto, alikwenda katika mkoa wa galilaya,
but when he heard that archelaus did reign in judaea in the room of his father herod, he was afraid to go thither: notwithstanding, being warned of god in a dream, he turned aside into the parts of galilee:
lakini wakati roho mtakatifu atakapowashukieni ninyi, mtajazwa nguvu na mtakuwa mashahidi wangu katika yerusalemu, katika nchi yote ya yudea na samaria, na hata miisho ya dunia."
but ye shall receive power, after that the holy ghost is come upon you: and ye shall be witnesses unto me both in jerusalem, and in all judaea, and in samaria, and unto the uttermost part of the earth.
siku moja yesu alikuwa akifundisha. mafarisayo na walimu wa sheria kutoka katika kila kijiji cha galilaya, yudea na yerusalemu, walikuwa wameketi hapo. nguvu ya bwana ilikuwa pamoja naye kwa ajili ya kuponyea wagonjwa.
and it came to pass on a certain day, as he was teaching, that there were pharisees and doctors of the law sitting by, which were come out of every town of galilee, and judaea, and jerusalem: and the power of the lord was present to heal them.