来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
yesu akajibu, "atakayechovya mkate pamoja nami katika bakuli ndiye atakayenisaliti.
فاجاب وقال. الذي يغمس يده معي في الصحفة هو يسلمني.
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
malaika wa tatu akamwaga bakuli lake katika mito na chemchemi za maji, navyo vikageuka damu.
ثم سكب الملاك الثالث جامه على الانهار وعلى ينابيع المياه فصارت دما.
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量:
kisha akatia maji katika bakuli, akaanza kuwaosha wanafunzi wake miguu na kuipangusa kwa kile kitambaa alichojifungia.
ثم صبّ ماء في مغسل وابتدأ يغسل ارجل التلاميذ ويمسحها بالمنشفة التي كان متزرا بها.
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量:
yesu akawaambia, "ni mmoja wenu ninyi kumi na wawili, anayechovya mkate pamoja nami katika bakuli.
فاجاب وقال لهم. هو واحد من الاثني عشر الذي يغمس معي في الصحفة.
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
kisha malaika wa pili akamwaga bakuli lake baharini. nayo bahari ikawa damu tupu kama damu ya mtu aliyekufa, na viumbe vyote hai baharini vikafa.
ثم سكب الملاك الثاني جامه على البحر فصار دما كدم ميت. وكل نفس حية ماتت في البحر.
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量:
kisha malaika wa sita akamwaga bakuli lake juu ya mto mkubwa uitwao eufrate. maji yake yakakauka, na hivyo njia ilitengenezwa kwa ajili ya wafalme wa mashariki.
ثم سكب الملاك السادس جامه على النهر الكبير الفرات فنشف ماؤه لكي يعد طريق الملوك الذين من مشرق الشمس.
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量:
basi, malaika wa kwanza akaenda akamwaga bakuli lake juu ya nchi. mara madonda mabaya na ya kuumiza sana yakawapata wote waliokuwa na alama ya yule mnyama, na wale walioiabudu sanamu yake.
فمضى الاول وسكب جامه على الارض فحدثت دمامل خبيثة ورديّة على الناس الذين بهم سمة الوحش والذين يسجدون لصورته
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量:
kisha malaika wa saba akamwaga bakuli lake hewani. sauti kubwa ikasikika kutoka kwenye kiti cha enzi, hekaluni, ikisema, "mwisho umefika!"
ثم سكب الملاك السابع جامه على الهواء فخرج صوت عظيم من هيكل السماء من العرش قائلا قد تم.
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
mara tu alipokwisha twaa hicho kitabu, vile viumbe hai vinne pamoja na wale wazee ishirini na wanne walianguka kifudifudi mbele ya mwanakondoo. kila mmoja, alikuwa na kinubi na bakuli za dhahabu zilizojaa ubani, ambao ni sala za watu wa mungu.
ولما اخذ السفر خرّت الاربعة الحيوانات والاربعة والعشرون شيخا امام الخروف ولهم كل واحد قيثارات وجامات من ذهب مملوءة بخورا هي صلوات القديسين.
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量: