来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
hapo yakatimia maandiko matakatifu yanayosema, "aliwekwa kundi moja na waovu."
فتم الكتاب القائل واحصي مع اثمة.
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
tulipokuwa bado wanyonge, kristo, wakati ulipotimia, alikufa kwa ajili yetu sisi waovu.
لان المسيح اذ كنا بعد ضعفاء مات في الوقت المعيّن لاجل الفجار.
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量:
watu waovu na wadanyanyifu watazidi kuwa waovu zaidi na zaidi kwa kuwadanganya wengine na kudanganyika wao wenyewe.
ولكن الناس الاشرار المزوّرين سيتقدمون الى اردأ مضلّين ومضلّين.
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量:
ni lazima mwana wa mtu atolewe kwa watu waovu, nao watamsulubisha, na siku ya tatu atafufuka."
قائلا انه ينبغي ان يسلّم ابن الانسان في ايدي اناس خطاة ويصلب وفي اليوم الثالث يقوم.
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
ili mpate kuwa watoto wa baba yenu aliye mbinguni. kwa maana yeye huwaangazia jua lake watu wabaya na wema, na kuwanyeshea mvua watu wanyofu na waovu.
لكي تكونوا ابناء ابيكم الذي في السموات. فانه يشرق شمسه على الاشرار والصالحين ويمطر على الابرار والظالمين.
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量:
enyi kizazi cha nyoka! mnawezaje kusema mambo mema hali ninyi ni waovu? maana mtu husema kutokana na yale yaliyojaa moyoni.
يا اولاد الافاعي كيف تقدرون ان تتكلموا بالصالحات وانتم اشرار. فانه من فضلة القلب يتكلم الفم.
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量:
kwa hiyo, basi, bwana anajua jinsi ya kuwaokoa katika majaribu watu wanaomcha mungu, na jinsi ya kuwaweka waovu katika adhabu hadi siku ile ya hukumu,
يعلم الرب ان ينقذ الاتقياء من التجربة ويحفظ الاثمة الى يوم الدين معاقبين
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量:
kama basi ninyi, ingawa ni waovu, mwajua kuwapa watoto wenu vitu vizuri, hakika baba yenu wa mbinguni atafanya zaidi: atawapa mema wale wanaomwomba.
فان كنتم وانتم اشرار تعرفون ان تعطوا اولادكم عطايا جيدة فكم بالحري ابوكم الذي في السموات يهب خيرات للذين يسألونه.
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量:
wao wakamjibu, "atawaangamiza vibaya hao waovu, na lile shamba atawapa wakulima wengine ambao watampa sehemu ya mavuno wakati wa mavuno."
قالوا له. أولئك الاردياء يهلكهم هلاكا رديّا ويسلم الكرم الى كرامين آخرين يعطونه الاثمار في اوقاتها.
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
alipowajia mara ya tatu aliwaambia, "mnalala bado na kupumzika? sasa imetosha! saa imefika! mwana wa mtu anakabidhiwa kwa watu waovu.
ثم جاء ثالثة وقال لهم ناموا الآن واستريحوا. يكفي. قد أتت الساعة. هوذا ابن الانسان يسلم الى ايدي الخطاة.
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
watu watakuwa na ubinafsi, wenye tamaa ya fedha, wenye majivuno, wenye kujiona, wenye kumtukana mungu, wasiowatii wazazi wao, wasio na shukrani na waovu;
لان الناس يكونون محبين لانفسهم محبين للمال متعظمين مستكبرين مجدّفين غير طائعين لوالديهم غير شاكرين دنسين
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量:
basi, huenda na kuwachukua pepo wengine saba waovu zaidi kuliko yeye; wote huenda na kumwingia mtu yule. hivyo, basi hali ya mtu huyo sasa huwa mbaya zaidi kuliko pale mwanzo."
ثم يذهب ويأخذ سبعة ارواح أخر اشر منه فتدخل وتسكن هناك. فتصير اواخر ذلك الانسان اشر من اوائله
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
kwa maana kristo mwenyewe alikufa kwa ajili ya dhambi zenu; alikufa mara moja tu na ikatosha, mtu mwema kwa ajili ya waovu, ili awapeleke ninyi kwa mungu. aliuawa kimwili lakini akafanywa hai kiroho;
فان المسيح ايضا تألم مرة واحدة من اجل الخطايا البار من اجل الاثمة لكي يقربنا الى الله مماتا في الجسد ولكن محيى في الروح
最后更新: 2012-05-05
使用频率: 1
质量: