Results for haifai translation from Swahili to Latin

Computer translation

Trying to learn how to translate from the human translation examples.

Swahili

Latin

Info

Swahili

haifai

Latin

 

From: Machine Translation
Suggest a better translation
Quality:

Human contributions

From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.

Add a translation

Swahili

Latin

Info

Swahili

nitajivuna basi, ingawa haifai! lakini sasa nitasema juu ya maono na ufunuo alivyonijalia bwana.

Latin

si gloriari oportet non expedit quidem veniam autem ad visiones et revelationes domin

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

haifai kitu wala kwa udongo wala kwa mbolea. watu huitupilia mbali. sikieni basi, kama mna masikio!"

Latin

neque in terram neque in sterquilinium utile est sed foras mittetur qui habet aures audiendi audia

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

kama mtu akijiona kuwa ni mtu mwenye dini, lakini hawezi kuutawala ulimi wake, dini yake haifai kitu, na anajidanganya mwenyewe.

Latin

si quis autem putat se religiosum esse non refrenans linguam suam sed seducens cor suum huius vana est religi

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

ikiwa basi, sisi ni watoto wa mungu, haifai kumfikiria mungu kuwa kama dhahabu, fedha au hata jiwe lililochongwa na kutiwa nakshi na binadamu.

Latin

genus ergo cum simus dei non debemus aestimare auro aut argento aut lapidi sculpturae artis et cogitationis hominis divinum esse simil

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

makuhani wakuu wakazichukua zile fedha, wakasema, "haifai kuziweka katika hazina ya hekalu kwa maana ni fedha za damu."

Latin

principes autem sacerdotum acceptis argenteis dixerunt non licet mittere eos in corbanan quia pretium sanguinis es

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

basi, usiiharibu kazi ya mungu kwa sababu ya ubishi juu ya chakula. vyakula vyote ni halali, lakini haifai kula chakula ambacho kitamfanya mtu aanguke katika dhambi.

Latin

noli propter escam destruere opus dei omnia quidem munda sunt sed malum est homini qui per offendiculum manduca

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

"ninyi ni chumvi ya dunia! lakini chumvi ikipoteza ladha yake itakolezwa na nini? haifai kitu tena, ila hutupwa nje na kukanyagwa na watu.

Latin

vos estis sal terrae quod si sal evanuerit in quo sallietur ad nihilum valet ultra nisi ut mittatur foras et conculcetur ab hominibu

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

kweli, masharti hayo yaonekana kuwa ya hekima katika namna ya ibada ya kujitakia wenyewe, unyenyekevu wa uongo na kuutendea mwili kwa ukali; lakini kwa kweli, haifai chochote kuzuia tamaa za mwili.

Latin

quae sunt rationem quidem habentia sapientiae in superstitione et humilitate et ad non parcendum corpori non in honore aliquo ad saturitatem carni

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Get a better translation with
7,750,472,425 human contributions

Users are now asking for help:



We use cookies to enhance your experience. By continuing to visit this site you agree to our use of cookies. Learn more. OK