Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
nitajivuna basi, ingawa haifai! lakini sasa nitasema juu ya maono na ufunuo alivyonijalia bwana.
si gloriari oportet non expedit quidem veniam autem ad visiones et revelationes domin
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
haifai kitu wala kwa udongo wala kwa mbolea. watu huitupilia mbali. sikieni basi, kama mna masikio!"
neque in terram neque in sterquilinium utile est sed foras mittetur qui habet aures audiendi audia
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
kama mtu akijiona kuwa ni mtu mwenye dini, lakini hawezi kuutawala ulimi wake, dini yake haifai kitu, na anajidanganya mwenyewe.
si quis autem putat se religiosum esse non refrenans linguam suam sed seducens cor suum huius vana est religi
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
ikiwa basi, sisi ni watoto wa mungu, haifai kumfikiria mungu kuwa kama dhahabu, fedha au hata jiwe lililochongwa na kutiwa nakshi na binadamu.
genus ergo cum simus dei non debemus aestimare auro aut argento aut lapidi sculpturae artis et cogitationis hominis divinum esse simil
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
makuhani wakuu wakazichukua zile fedha, wakasema, "haifai kuziweka katika hazina ya hekalu kwa maana ni fedha za damu."
principes autem sacerdotum acceptis argenteis dixerunt non licet mittere eos in corbanan quia pretium sanguinis es
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
basi, usiiharibu kazi ya mungu kwa sababu ya ubishi juu ya chakula. vyakula vyote ni halali, lakini haifai kula chakula ambacho kitamfanya mtu aanguke katika dhambi.
noli propter escam destruere opus dei omnia quidem munda sunt sed malum est homini qui per offendiculum manduca
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
"ninyi ni chumvi ya dunia! lakini chumvi ikipoteza ladha yake itakolezwa na nini? haifai kitu tena, ila hutupwa nje na kukanyagwa na watu.
vos estis sal terrae quod si sal evanuerit in quo sallietur ad nihilum valet ultra nisi ut mittatur foras et conculcetur ab hominibu
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
kweli, masharti hayo yaonekana kuwa ya hekima katika namna ya ibada ya kujitakia wenyewe, unyenyekevu wa uongo na kuutendea mwili kwa ukali; lakini kwa kweli, haifai chochote kuzuia tamaa za mwili.
quae sunt rationem quidem habentia sapientiae in superstitione et humilitate et ad non parcendum corpori non in honore aliquo ad saturitatem carni
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality: