Versucht aus den Beispielen menschlicher Übersetzungen das Übersetzen zu lernen.
Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
pro hominibus pax hominibus
amani kwa wanaume
Letzte Aktualisierung: 2022-01-18
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Referenz:
ad quem accedentes lapidem vivum ab hominibus quidem reprobatum a deo autem electum honorificatu
basi, mwendeeni bwana! yeye ndiye jiwe hai lililokataliwa na watu; lakini mbele ya mungu ni jiwe teule, na la thamani kubwa.
et tempora quidem huius ignorantiae despiciens deus nunc adnuntiat hominibus ut omnes ubique paenitentiam agan
mungu alifanya kama kwamba haoni nyakati zile watu walipokuwa wajinga. lakini sasa, anaamuru watu wote kila mahali watubu.
et habebant caudas similes scorpionum et aculei in caudis earum potestas earum nocere hominibus mensibus quinqu
walikuwa na mikia na miiba kama ng'e, na kwa mikia hiyo, walikuwa na nguvu ya kuwadhuru watu kwa muda wa miezi mitano.
et non est in alio aliquo salus nec enim nomen aliud est sub caelo datum hominibus in quo oportet nos salvos fier
wokovu haupatikani kwa mtu mwingine yeyote, kwa maana duniani pote, binadamu hawakupewa jina la mtu mwingine ambaye sisi tunaweza kuokolewa naye."
adtendite ne iustitiam vestram faciatis coram hominibus ut videamini ab eis alioquin mercedem non habebitis apud patrem vestrum qui in caelis es
"jihadharini msije mkafanya matendo yenu mema mbele ya watu kusudi mwonekane nao. la sivyo, baba yenu aliye mbinguni hatawapeni tuzo.
baptismum iohannis unde erat e caelo an ex hominibus at illi cogitabant inter se dicentes si dixerimus e caelo dicet nobis quare ergo non credidistis ill
je, mamlaka ya yohane ya kubatiza yalitoka kwa nani? je, yalitoka mbinguni ama kwa watu?" lakini wakajadiliana wao kwa wao hivi: "tukisema, yalitoka mbinguni, atatuuliza, basi, mbona hamkumsadiki?
cum ergo facies elemosynam noli tuba canere ante te sicut hypocritae faciunt in synagogis et in vicis ut honorificentur ab hominibus amen dico vobis receperunt mercedem sua
"basi, unapomsaidia maskini, usijitangaze. usifanye kama wanafiki wafanyavyo katika masunagogi na njiani ili watu wawasifu. kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao.
dicentes benedictus qui venit rex in nomine domini pax in caelo et gloria in excelsi
wakawa wanasema: "abarikiwe mfalme ajaye kwa jina la bwana. amani mbinguni, na utukufu juu mbinguni!"