Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
akasema: basi teremka kutoka humo! haikufalii kufanya kiburi humo.
er sagte: "dann steige davon hinab, denn du darfst dich darin nicht überheblich verhalten, gehe hinaus!
na alipanda kiburi yeye na majeshi yake katika nchi bila ya haki, na wakadhania kuwa hawatarudishwa kwetu.
er und seine heerscharen verhielten sich ohne recht hochmütig auf der erde und glaubten, daß sie (dereinst) nicht zu uns zurückgebracht würden.
na wale watakao kanusha ishara zetu na wakazifanyia kiburi, hao ni watu wa motoni; humo watadumu.
diejenigen aber, die unsere zeichen für lüge erklären und sich ihnen gegenüber hochmütig verhalten, das sind insassen des (höllen)feuers. ewig werden sie darin bleiben.
na lau kuwa mwenyezi mungu angeli wakunjulia riziki waja wake, basi bila ya shaka wangeli panda kiburi katika dunia.
und würde allah seinen dienern die versorgung großzügig zuteilen, würden sie auf der erde ungerechtigkeit verüben.
hakika wale wanao zikanusha ishara zetu na wakazifanyia kiburi hawatafunguliwa milango ya mbingu, wala hawataingia peponi mpaka apite ngamia katika tundu ya sindano.
denen, die unsere zeichen für lüge erklären und sich ihnen gegenüber hochmütig verhalten, werden die tore des himmels nicht geöffnet, und sie werden nicht ins paradies eingehen, ehe denn ein kamel durch ein nadelöhr geht.
na lau kuwa mwenyezi mungu angeli wakunjulia riziki waja wake, basi bila ya shaka wangeli panda kiburi katika dunia. lakini anaiteremsha kwa kipimo akitakacho.
und wenn allah die mittel zum unterhalt für seine diener erweitern würde, so würden sie übermütig auf erden sein; doch er sendet (seine gaben) in dem maße hinab, wie er es will; denn er kennt und durchschaut seine diener recht wohl.
na hao watu wa mnyanyukoni watawaita watu wanao wajua kwa alama zao. watasema: kujumuika kwenu hakukufaini kitu, wala hicho mlicho kuwa mnafanyia kiburi.
die zugehörigen von al-'araf haben dann (kafir-)männern, die sie an ihrer miene erkannten, zugerufen, sie sagten (ihnen): "was hat euch eure menge und das, was ihr an Überheblichkeit praktiziert habt, genützt?
masihi hataona uvunjifu kuwa mtumwa wa mwenyezi mungu, wala malaika walio karibishwa. na watakao ona uvunjifu utumwa wa mwenyezi mungu na kufanya kiburi, basi atawakusanya wote kwake.
der messias wird es niemals verschmähen, diener allahs zu sein; ebenso nicht die (allah) nahestehenden engel; und wer es verschmäht, ihn anzubeten, und sich dazu zu erhaben fühlt so wird er sie alle zu sich versammeln.
na ama walio amini na wakatenda mema atawalipa ujira wao sawa sawa, na atawazidishia kwa fadhila yake. na ama wale walio ona uvunjifu na wakafanya kiburi, basi atawaadhibu adhabu iliyo chungu.
denen aber, die glauben und gute werke tun, wird er den vollen lohn und noch mehr von seiner huld geben; die aber, die verschmähen und stolz sind, die wird er schmerzlich bestrafen.
basi tukawapelekea tufani, na nzige, na chawa, na vyura, na damu, kuwa ni ishara mbali mbali. nao wakapanda kiburi, na wakawa watu wakosefu.
da sandten wir die flut über sie, die heuschrecken, die läuse, die frösche und das blut - deutliche zeichen -, doch sie betrugen sich hochmütig und wurden ein sündiges volk.