Versucht aus den Beispielen menschlicher Übersetzungen das Übersetzen zu lernen.
Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
yesu aliwaambia jambo hilo waziwazi. basi, petro akamchukua kando, akaanza kumkemea.
and he spake that saying openly. and peter took him, and began to rebuke him.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
hivyo, yosefu alipoamka usingizini alifanya kama malaika huyo alivyomwambia, akamchukua mke wake nyumbani.
then joseph being raised from sleep did as the angel of the lord had bidden him, and took unto him his wife:
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
lakini lusia, mkuu wa jeshi, aliingilia kati, akamchukua kwa nguvu kutoka mikononi mwetu.
but the chief captain lysias came upon us, and with great violence took him away out of our hands,
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
kisha ibilisi akamchukua hadi mahali pa juu, akamwonyesha kwa mara moja falme zote za ulimwengu. huyo shetani akamwambia,
and the devil, taking him up into an high mountain, shewed unto him all the kingdoms of the world in a moment of time.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
hapo petro akamchukua kando, akaanza kumkemea: "isiwe hivyo bwana! jambo hili halitakupata!"
then peter took him, and began to rebuke him, saying, be it far from thee, lord: this shall not be unto thee.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Warnung: Enthält unsichtbare HTML-Formatierung
hapo, barnaba alikuja akamchukua saulo, akampeleka kwa mitume na kuwaeleza jinsi saulo alivyomwona bwana njiani na jinsi bwana alivyoongea naye. aliwaambia pia jinsi saulo alivyokuwa amehubiri bila uoga kule damasko.
but barnabas took him, and brought him to the apostles, and declared unto them how he had seen the lord in the way, and that he had spoken to him, and how he had preached boldly at damascus in the name of jesus.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
askari akamchukua huyo kijana, akamwongoza mpaka kwa mkuu wa jeshi, akasema, "yule mfungwa paulo ameniita akaniomba nimlete kijana huyu kwako kwa maana ana jambo la kukwambia."
so he took him, and brought him to the chief captain, and said, paul the prisoner called me unto him, and prayed me to bring this young man unto thee, who hath something to say unto thee.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Warnung: Enthält unsichtbare HTML-Formatierung