Je was op zoek naar: akamchukua (Swahili - Engels)

Computervertaling

Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.

Swahili

English

Info

Swahili

akamchukua

English

 

Van: Machinevertaling
Stel een betere vertaling voor
Kwaliteit:

Menselijke bijdragen

Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.

Voeg een vertaling toe

Swahili

Engels

Info

Swahili

yesu aliwaambia jambo hilo waziwazi. basi, petro akamchukua kando, akaanza kumkemea.

Engels

and he spake that saying openly. and peter took him, and began to rebuke him.

Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Swahili

hivyo, yosefu alipoamka usingizini alifanya kama malaika huyo alivyomwambia, akamchukua mke wake nyumbani.

Engels

then joseph being raised from sleep did as the angel of the lord had bidden him, and took unto him his wife:

Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Swahili

lakini lusia, mkuu wa jeshi, aliingilia kati, akamchukua kwa nguvu kutoka mikononi mwetu.

Engels

but the chief captain lysias came upon us, and with great violence took him away out of our hands,

Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Swahili

kisha ibilisi akamchukua hadi mahali pa juu, akamwonyesha kwa mara moja falme zote za ulimwengu. huyo shetani akamwambia,

Engels

and the devil, taking him up into an high mountain, shewed unto him all the kingdoms of the world in a moment of time.

Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Swahili

hapo petro akamchukua kando, akaanza kumkemea: "isiwe hivyo bwana! jambo hili halitakupata!"

Engels

then peter took him, and began to rebuke him, saying, be it far from thee, lord: this shall not be unto thee.

Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak

Swahili

hapo, barnaba alikuja akamchukua saulo, akampeleka kwa mitume na kuwaeleza jinsi saulo alivyomwona bwana njiani na jinsi bwana alivyoongea naye. aliwaambia pia jinsi saulo alivyokuwa amehubiri bila uoga kule damasko.

Engels

but barnabas took him, and brought him to the apostles, and declared unto them how he had seen the lord in the way, and that he had spoken to him, and how he had preached boldly at damascus in the name of jesus.

Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Swahili

askari akamchukua huyo kijana, akamwongoza mpaka kwa mkuu wa jeshi, akasema, "yule mfungwa paulo ameniita akaniomba nimlete kijana huyu kwako kwa maana ana jambo la kukwambia."

Engels

so he took him, and brought him to the chief captain, and said, paul the prisoner called me unto him, and prayed me to bring this young man unto thee, who hath something to say unto thee.

Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak

Krijg een betere vertaling met
7,759,574,202 menselijke bijdragen

Gebruikers vragen nu voor assistentie



Wij gebruiken cookies om u de best mogelijke ervaring op onze website te bieden. Door de website verder te gebruiken, geeft u toestemming voor het gebruik van cookies. Klik hier voor meer informatie. OK