Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
anategemewa kuwaambia waafrika kusini kusahau tukio hilo na kwamba tuendelea mbele, hata hivyo wengi wanasema hilo haliwezekani kwani makaburu wako chini ya mashambulizi.
he will most likely tell south africans to forget about the event and that we should move on, however many claim this is not possible and that the boers are under attack.
kwa hiyo anc inamtetea julius malema kwa kuimba wimbo wenye maneno, “pigeni risasi makaburu, ni wabakaji”.
so the anc is defending julius malema for singing a song containing the lyrics, “shoot the boere, they are rapists”.
alex matthews katika blogu ya thought leader anauliza, “kama kuua makaburu ni sawa, vipi kuhusu weusi, wanawake na mashoga?”:
alex matthews at thought leader asks, "if killing the boers is ok, how about blacks, women and gays?" :
julius malema wiki chache zilizopita alichochea chuki dhidi ya watu weupe wa afrika ya kusini na makaburu kwa kuimba wimbo unaoitwa “uwa kaburu.”
julius malema in the last few weeks incited hatred against white afrikaners and boers by insisting on singing the "kill the boer" song.
wakati julius malema alipokuwa akiimba “piga risasi makaburu” kwenye maandamano ya vijana wa anc, wakulima walikuwa wanauwawa kwenye jimbo la limpopo.
while julius malema was singing "shoot the boers" at an anc youth league rally, farmers were being killed in the limpopo province.
akiwa kijana na mwenye nguvu, khusta aliandaa mgomo wa kiuchumi dhidi ya biashara zinazomilikiwa na makaburu kushinikiza madai ya watu weusi ya kuheshimiwa -kuheshimiwa utu wao na serikali ya makuburu wa afrika kusini.
young and energetic, khusta led an economic boycott of downtown white-owned businesses in port elizabeth to leverage black people’s demands for better treatment -humane treatment by the apartheid government of south africa.
malema, kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari, aliwaongoza wanafunzi katika chuo kikuu cha johannersburg katika wimbo unaosema: “piga risasi makaburu , ni wabakaji.”
malema, according to media reports, led students at the university of johannesburg in a song saying: “shoot the boere , they are rapists.”