Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
yesu alipokuwa yerusalemu kwa sikukuu ya pasaka, watu wengi walimwamini walipoona ishara alizozifanya.
kaj kiam li estis en jerusalem cxe la pasko, dum la festo, multaj fidis al lia nomo, vidante la signojn, kiujn li faris.
ilikuwa kawaida wakati wa sikukuu ya pasaka mkuu wa mkoa kuwafungulia wayahudi mfungwa mmoja waliyemtaka.
sed cxe tiu festo la provincestro kutimis liberigi al la homamaso unu malliberulon, kiun ili deziris.
kesho yake, kundi kubwa la watu waliokuja kwenye sikukuu walisikia kuwa yesu alikuwa njiani kuja yerusalemu.
en la sekvanta tago granda homamaso, veninte al la festo, kaj sciigxinte, ke jesuo venas al jerusalem,
baada ya ndugu zake kwenda kwenye sikukuu, yesu naye alikwenda, lakini hakuenda kwa hadhara bali kwa siri.
sed kiam liaj fratoj supreniris al la festo, tiam li ankaux supreniris, ne malkasxe, sed kvazaux sekrete.
baada ya sikukuu, walianza safari ya kurudi makwao, lakini yesu alibaki yerusalemu bila wazazi wake kuwa na habari.
kaj kiam ili jam pasigis la tagojn, cxe ilia returnigxo la knabo jesuo restis en jerusalem, kaj liaj gepatroj tion ne sciis;
ninyi nendeni kwenye sikukuu hiyo. mimi siendi kwenye sikukuu hiyo, maana saa yangu ifaayo haijafika."
supreniru vi al la festo; mi ankoraux ne supreniras al la festo, cxar mia tempo ankoraux ne maturigxis.
paulo alikuwa amekusudia kuendelea na safari kwa meli bila kupitia efeso ili asikawie zaidi huko asia. alikuwa na haraka ya kufika yerusalemu kwa sikukuu ya pentekoste kama ingewezekana.
cxar pauxlo decidis preterveturi efeson, por ne perdi tempon en azio; cxar li rapidis, por esti en jerusalem, se li nur povos, en la pentekosta tago.
kwa hiyo, basi, msikubali kupewa masharti na mtu yeyote kuhusu vyakula au vinywaji, siku za sherehe, sikukuu ya mwezi mpya au sabato.
neniu do vin jugxu pri mangxajxo, aux trinkajxo, aux rilate al festo, aux novmonato, aux sabato;
siku ya kwanza kabla ya sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu, wanafunzi walimwendea yesu wakamwuliza, "unataka tukuandalie wapi chakula cha pasaka?"
kaj en la unua tago de macoj la discxiploj venis al jesuo, dirante:kie vi volas, ke ni pretigu por vi, por mangxi la paskon?
basi, alipofika galilaya, wagalilaya wengi walimkaribisha. maana nao pia walikuwa kwenye sikukuu ya pasaka, wakayaona mambo yote yesu aliyotenda huko yerusalemu wakati wa sikukuu hiyo.
kiam do li venis en galileon, la galileanoj akceptis lin, cxar ili jam vidis cxion, kion li faris en jerusalem dum la festo; cxar ili ankaux iris al la festo.
siku ya kwanza ya sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu, wakati ambapo mwana kondoo wa pasaka huchinjwa, wanafunzi wake walimwuliza, "wataka tukuandalie wapi karamu ya pasaka?"
kaj en la unua tago de la macoj, kiam oni bucxis la paskon, liaj discxiploj diris al li:kien vi volas, ke ni iru, kaj pretigu, por ke vi mangxu la paskon?
ilikuwa kabla ya sikukuu ya pasaka. yesu alijua kwamba saa yake ya kuondoka ulimwenguni na kwenda kwa baba ilikuwa imefika. alikuwa amewapenda daima watu wake walioko duniani; naam, aliwapenda mpaka mwisho!
kaj antaux la paska festo jesuo, sciante, ke lia horo venis, por ke li transiru el cxi tiu mondo al la patro, aminte siajn proprulojn, kiuj estis en la mondo, amis ilin gxis la fino.