Results for defile translation from English to Swahili

Computer translation

Trying to learn how to translate from the human translation examples.

English

Swahili

Info

English

defile

Swahili

 

From: Machine Translation
Suggest a better translation
Quality:

Human contributions

From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.

Add a translation

English

Swahili

Info

English

all these evil things come from within, and defile the man.

Swahili

maovu hayo yote yatoka ndani ya mtu, nayo humtia mtu najisi."

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

English

likewise also these filthy dreamers defile the flesh, despise dominion, and speak evil of dignities.

Swahili

hivyo ndivyo pia walivyo watu hawa. ndoto zao huwaongoza katika kuichafua miili yao wenyewe, kuyadharau mamlaka ya mungu na kuvitukana viumbe vitukufu vya huko juu.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

English

but those things which proceed out of the mouth come forth from the heart; and they defile the man.

Swahili

lakini yale yatokayo kinywani hutoka moyoni, na hayo ndiyo yanayomtia mtu najisi.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

English

if any man defile the temple of god, him shall god destroy; for the temple of god is holy, which temple ye are.

Swahili

basi, mtu akiliharibu hekalu la mungu, mungu atamharibu; maana hekalu la mungu ni takatifu, na hekalu hilo ni ninyi wenyewe.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

English

and proclaim thou among mankind the pilgrimage; they shall come unto thee on foot and on any lean mount, coming from every deep defile.

Swahili

na watangazie watu hija; watakujia kwa miguu na juu ya kila ngamia aliye konda, wakija kutoka katika kila njia ya mbali.

Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:

English

there is nothing from without a man, that entering into him can defile him: but the things which come out of him, those are they that defile the man.

Swahili

hakuna kitu kinachoingia ndani ya mtu toka nje ambacho chaweza kumtia mtu najisi. lakini kinachotoka ndani ya mtu ndicho kinachomtia mtu najisi."

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

English

and he saith unto them, are ye so without understanding also? do ye not perceive, that whatsoever thing from without entereth into the man, it cannot defile him;

Swahili

naye akawaambia, "je, hata ninyi hamwelewi? je, hamwelewi kwamba kitu kinachomwingia mtu toka nje hakiwezi kumtia unajisi,

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

English

for whoremongers, for them that defile themselves with mankind, for menstealers, for liars, for perjured persons, and if there be any other thing that is contrary to sound doctrine;

Swahili

sheria imewekwa kwa ajili ya waasherati, wafiraji, wanaowaiba watu, waongo, na wanaoapa uongo au wanaofanya chochote ambacho ni kinyume cha mafundisho ya kweli.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Get a better translation with
7,774,089,776 human contributions

Users are now asking for help:



We use cookies to enhance your experience. By continuing to visit this site you agree to our use of cookies. Learn more. OK