From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
now about that time herod the king stretched forth his hands to vex certain of the church.
karibu wakati huohuo, mfalme herode alianza kuwatesa baadhi ya wakristo.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
for john had said unto herod, it is not lawful for thee to have thy brother's wife.
yohane alikuwa amemwambia herode, "si halali kwako kumchukua mke wa ndugu yako."
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
then herod, when he had privily called the wise men, inquired of them diligently what time the star appeared.
hapo, herode aliwaita faraghani hao wataalamu wa nyota, akawauliza wakati hasa ile nyota ilipowatokea.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
but when herod was dead, behold, an angel of the lord appeareth in a dream to joseph in egypt,
baada ya kifo cha herode, malaika wa bwana alimtokea yosefu katika ndoto kule misri,
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
and upon a set day herod, arrayed in royal apparel, sat upon his throne, and made an oration unto them.
siku moja iliyochaguliwa, herode akiwa amevaa mavazi rasmi na kuketi katika kiti cha kifalme aliwahutubia watu.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
and being warned of god in a dream that they should not return to herod, they departed into their own country another way.
mungu aliwaonya katika ndoto wasimrudie herode; hivyo wakarudi makwao kwa njia nyingine.
Last Update: 2012-11-27
Usage Frequency: 1
Quality:
now when jesus was born in bethlehem of judaea in the days of herod the king, behold, there came wise men from the east to jerusalem,
yesu alizaliwa mjini bethlehemu, mkoani yudea, wakati herode alipokuwa mfalme. punde tu baada ya kuzaliwa kwake, wataalamu wa nyota kutoka mashariki walifika yerusalemu,
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
and herod said, john have i beheaded: but who is this, of whom i hear such things? and he desired to see him.
lakini herode akasema, "huyo yohane nilimkata kichwa; sasa ni nani huyu ninayesikia habari zake?" akawa na hamu ya kumwona.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
and as soon as he knew that he belonged unto herod's jurisdiction, he sent him to herod, who himself also was at jerusalem at that time.
alipojua kwamba yesu alikuwa chini ya utawala wa herode, akampeleka kwa herode, ambaye wakati huo alikuwa yerusalemu.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
for herod had laid hold on john, and bound him, and put him in prison for herodias' sake, his brother philip's wife.
herode ndiye aliyekuwa amemtia yohane nguvuni, akamfunga minyororo na kumtia gerezani kwa sababu ya herodia, mke wa filipo, ndugu yake. sababu hasa ni
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
and was there until the death of herod: that it might be fulfilled which was spoken of the lord by the prophet, saying, out of egypt have i called my son.
akakaa huko mpaka herode alipokufa. jambo hilo lilifanyika ili neno alilosema bwana kwa njia ya nabii litimie: "nilimwita mwanangu kutoka misri."
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
for herod feared john, knowing that he was a just man and an holy, and observed him; and when he heard him, he did many things, and heard him gladly.
herode alimwogopa yohane kwa maana alijua kwamba yeye ni mtu mwema na mtakatifu, na hivyo akamlinda. herode alipenda kumsikiliza yohane, ingawaje baada ya kumsikiliza, alifadhaika sana.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
and when herod had sought for him, and found him not, he examined the keepers, and commanded that they should be put to death. and he went down from judaea to caesarea, and there abode.
herode aliamuru ufanywe msako lakini hawakuweza kumpata. hivyo aliamuru wale askari wahojiwe, akatoa amri wauawe. halafu akatoka huko yudea akaenda kaisarea ambako alikaa.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
and when herod saw jesus, he was exceeding glad: for he was desirous to see him of a long season, because he had heard many things of him; and he hoped to have seen some miracle done by him.
herode alifurahi sana alipomwona yesu. alikuwa amekwisha sikia habari zake, na hivyo alikuwa anatazamia kwa muda mrefu kumwona kwa macho yake mwenyewe. zaidi ya hayo, alikuwa anatumaini kumwona yesu akitenda mwujiza.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
but when he heard that archelaus did reign in judaea in the room of his father herod, he was afraid to go thither: notwithstanding, being warned of god in a dream, he turned aside into the parts of galilee:
lakini yosefu aliposikia kwamba arkelao mwanawe herode alikuwa mfalme wa yudea mahali pa baba yake, aliogopa kwenda huko. naye baada ya kuonywa katika ndoto, alikwenda katika mkoa wa galilaya,
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality: