From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
there are hypocrites among the bedouins around you and among the townspeople of madinah, steeped in hypocrisy.
na katika mabedui walio jirani zenu wamo wanaafiki; na katika wenyeji wa madina pia wapo walio bobea katika unaafiki. wewe huwajui.
some of the arabs of the desert around you are hypocrites, and some of the people of madina are stubborn in hypocrisy.
na katika mabedui walio jirani zenu wamo wanaafiki; na katika wenyeji wa madina pia wapo walio bobea katika unaafiki. wewe huwajui.
a few old-school white south african's have joined the fray in the blogosphere pointing out the hypocrisy.
waafrika kusini weupe wachache asmbao ni wahafidhina wamejiunga na pambano la kwenye ulimwengu wa blogu na wanauonyesha unafiki.
amina is the prisoner of the tunisian political hypocrisy and the silence of those claiming to be democrats but do not dare to take sides in this ongoing battle.
amina ni mfungwa wa unafiki wa kisiasa nchini tunisia na kimya cha wale wanaojidai kuwa wanademokrasia lakini hawajaribu kuonyesha msimamo katika vita hivi vinavyoendelea.
as a consequence of breaking their promise made to god, and telling lies, he filled their hearts with hypocrisy which will last till the day they come before him.
basi akawalipa unaafiki kuutia nyoyoni mwao mpaka siku watapo kutana naye, kwa sababu ya kuwa walimkhalifu mwenyezi mungu katika yale waliyo muahidi, na kwa sababu ya kusema kwao uwongo.
so he caused hypocrisy to ensue in their hearts until the day they will encounter him, because of their going back on what they had promised allah and because of the lies they used to tell.
basi akawalipa unaafiki kuutia nyoyoni mwao mpaka siku watapo kutana naye, kwa sababu ya kuwa walimkhalifu mwenyezi mungu katika yale waliyo muahidi, na kwa sababu ya kusema kwao uwongo.
god will, for their disregard of their promise and their telling lies, place hypocrisy in their hearts which will not leave them until they face the consequences of their deeds.
basi akawalipa unaafiki kuutia nyoyoni mwao mpaka siku watapo kutana naye, kwa sababu ya kuwa walimkhalifu mwenyezi mungu katika yale waliyo muahidi, na kwa sababu ya kusema kwao uwongo.
and of the dwellers of the desert around you some are hypocrites, and so are some of the people of madinah; they have become inured to hypocrisy thou knowest them not, we know them.
na katika mabedui walio jirani zenu wamo wanaafiki; na katika wenyeji wa madina pia wapo walio bobea katika unaafiki. wewe huwajui.
and it may happen that allah will either bring you a decisive victory or bring about something else from himself? and then they will feel remorseful at their hypocrisy which they have kept concealed in their breasts -
huenda mwenyezi mungu akaleta ushindi au jambo jingine litokalo kwake wakawa wenye kujuta kwa waliyo yaficha katika nafsi zao.
but those whose hearts are affected with the disease (of hypocrisy), every new surah added a fresh abomination to their abomination. they remained unbelievers till their death.
ama wale wenye maradhi katika nyoyo zao, basi inawazidishia uovu juu ya uovu wao; na wanakufa hali ni makafiri.
amidst cries of hypocrisy by several jamaican artistes who feel that dancehall is being unfairly singled out, madbull, a jamaican blogger in cayman, writes that he fully supports the ban and thinks it should be extended to any genre of music being considered for public airplay.
katikati ya vilio vya unafiki kutoka kwa wasanii wengi wa kijamaika ambao wanahisi kwamba mtindo wa dancehall pekee ndio unasakamwa, bloga wa kijamaika, madbull aliyeko huko cayman, anaandika kwamba anaunga mkono amri hiyo na anafikiri kuwa amri hiyo ienezwe na kuzuia mtindo wowote wa muziki unaotarajiwa kurushwa hewani.