Results for nairobi is the capital city of kenya translation from English to Swahili

Computer translation

Trying to learn how to translate from the human translation examples.

English

Swahili

Info

English

nairobi is the capital city of kenya

Swahili

 

From: Machine Translation
Suggest a better translation
Quality:

Human contributions

From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.

Add a translation

English

Swahili

Info

English

jos is the capital of plateau state in nigeria's middle belt.

Swahili

jos ni mjini kuu wa jimbo la plateau kwenye ukanda wa kati wa naijeria.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

English

the earthquake was felt in the capital city of santiago located 325km from the epicenter.

Swahili

tetemeko hilo liliutetemesha mji mkuu wa santiago uliopo kilomita 325 kutoka katika kiini cha tetemeko hilo.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

English

this time it will was held in plaza vieja, in the capital city.

Swahili

safari hii maandamano yalifanyika plaza vieja, jengo lililopo kwenye mji huo mkuu.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

English

dakar, the capital city of senegal, has been plagued with water shortage for the past 15 days .

Swahili

dakar, mji kuu wa senegal, umekumbwa na uhaba wa maji kwa siku 15 zilizopita .

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

English

on 21 september, 2013, a group of armed militants stormed an upscale mall in nairobi, the capital city of kenya, and opened fire, killing by the latest count 69 people and injuring hundreds more.

Swahili

tarehe 21 septemba, 2013, kikundi cha wanajeshi wenye silaha walivamia kituo cha biashara jijini nairobi, mji mkuu wa kenya, walimimina risasi, wakiua watu wanaosemekana kufikia 69 na kujeruhi mamia.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

English

he has tried to fly back to the capital city but it is unclear whether he has succeeded.

Swahili

amejaribu kureje kwa ndege jijini bujumbura lakini haijulikani kama alifanikiwa.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

English

in maracay, the capital city of aragua state, mare informed about the call that spreads until the night in that city:

Swahili

jijini maracay, mji mkuwa wa jimbo la aragua state, mare aliripoti kuhusu wito uliosambaa mpaka usiku katika jiji hilo:

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

English

billboards erected by his party supporting his intention to continue ruling the country are all over the capital city kampala.

Swahili

mabango yaliyotengenezwa na chama chake kuunga mkono nia yake ya kuendelea kuitawala nchi hiyo yameenea kwenye jiji la kampala, makao makuu ya nchi hiyo.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

English

on september 21, 2013, a group of suspected al-shabab militants stormed westgate mall in nairobi, the capital city of kenya, killing at least 61 people, six security personnel and injuring hundreds of innocent men, women and children.

Swahili

mnamo septemba 21, 2013, kikundi cha watu wenye silaha wanaodhaniwa kuwa al-shabab walivamia jengo la westgate jijini nairobi, mji mkuu wa kenya, wakiua watu wasiopungua 61, wanausalama sita na kujeruhi mamia ya watu wasio na hatia wakiwamo watoto.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

English

the epicenter was located at 20 kilometers north of the capital city managua, close to apoyeque volcano, at 10 kilometers depth.

Swahili

kitovu kilikuwa kilomita 20 kaskazini ya mji mkuu managua, karibu na volkano ya apoyeque, wa kina cha kilomita 10.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

English

sada tangara, a photographer and blogger based in dakar, senegal posted a photoreport on the rise of vigilante justice on the streets of dakar, capital city of senegal.

Swahili

sada tangara, mpiga kura na mwanablogu anayeishi dakar, nchini senegali aliweka picha-habari inayohusu kuongezeka kwa matukio ya kujichukulia sheria mkononi kwenye mitaa ya dakar, mji mkuu wa senegali.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

English

a shooting in a restaurant in bamako, capital city of mali, claimed the lives of five people on friday night, march, 6.

Swahili

shambuliko la kigaidi lilitekelezwa kwenye mgahawa jijini bamako, makao makuu ya mali, limechukua maisha ya watu watano usiku wa siku ya ijumaa mnamo machi, 6.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

English

@usembassykrt: internet access and possibly cell phones may be disrupted or limited in sudan due to the protests and demonstrations in the capital city.

Swahili

@usembassykrt: upatikanaji wa intanenti na pengine simu za mkononi zinaweza kuwa na matatizo ya upatikanaji au kutokupatikana kabisa nchini humu kufuatia upinzani wa umma dhidi ya serikali na maandamano yanayoendelea katika mji mkuu wa nchi hii.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

English

bandits even stormed the national headquarters of the police and the ministry of external relations (foreign affairs) in the capital city, yaounde.

Swahili

majambazi wameweza hata kuyavamia makao makuu ya taifa ya polisi na wizara ya mambo ya nje katika mji mkuu wa yaounde.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

English

bahia, the state with the largest percentage of blacks, is the capital of this religion, which closely follows its african roots and traditions among the yoruba people of nigeria and the bantu people of angola and the congo.

Swahili

bahia, jimbo ambalo lina asilimia kubwa zaidi ya watu weusi, ndiyo makao makuu ya dini hii, ambayo inafuata kwa karibu asili yake ya kiafrika na hasa tamaduni za kiyoruba za nigeria na za kibantu za angola na kongo.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

English

a 1,500 km-long railway project between niamey, the capital city of niger and cotonou, the capital city of benin has been green lighted by the authorities of the two countries and construction will begin on march 2014 .

Swahili

mradi wa reli wa urefu wa kilometa 1,500 kati ya niamey, mji mkuu wa niger na cotonou, mji mkuu wa benin umepitishwa na mamlaka ya nchi hizo mbili na ujenzi utaanza machi 2014 .

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

English

just after winning the election to replace sata, lungu underwent medical tests at lusaka trust hospital and maina soko military hospital, both of which are within a short distance from the presidential palace in the woodlands district of the capital city.

Swahili

kabla ya kushinda uchaguzi na kumrithi sata, lungu alifanya uchunguzi wa afya kwenye hospitali ya lusaka trust pamoja na hospitali ya kijeshi ya maina soko, zote zikiwa umbali mdogo tu kutoka yalipo makazi ya rais, ikulu, wilaya ya woodlands jijini lusaka.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

English

the victim was 37 years old and his brutal death in a police station in the old city of salé, near the capital rabat, is for many bloggers, reminiscent of the years of lead, the dark era of the previous regime of king hassan ii, when police brutality and torture perpetrated by state agents was a horrifying reality moroccans had to live with.

Swahili

mhanga huyu alikuwa na umri wa miaka 37 na kifo chake baada ya kuteswa vibaya katika kituo cha polisi katika mji wa kale wa salé ulio karibu na jiji la rabat, ni jambo ambalo wanablogu wengi wanalichukulia kuwa mabaki ya enzi za miaka ya chuma, ambazo zilikuwa kipindi kibaya cha utawala wa mfalme hassan ii, ambapo ukatili wa polisi na utesaji uliopangwa na kufanywa na vyombo vya dola ulikuwa wa viwango vya kutisha na ambao raia wa moroko walilazimika kuuishi.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

English

the same day that the death toll of a nine-story factory collapse in savar in the outskirts of bangladesh's capital city of dhaka rose to 1,055, now the deadliest building collapse since the 9/11 terrorist attacks, a female worker named reshma begum was found alive after being trapped in the rubble for 17 days.

Swahili

siku ifananayo na ile iliyogharimu maisha ya watu mara baada ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa tisa huko savar pembezoni mwa mji mkuu wa banglasesh, dhaka idadi ya vifo imeongezeka hadi 1,055, hadi sasa hili ndilo jingo lililowahi kuporomoka na kuua idadi kubwa zaidi ya watu tangu lilipotokea shambulizi la kigaidi mnamo tarehe 9/11, mfanyakazi mmoja mwanamke ajulikanaye kwa jina la reshma begum amekutwa akiwa hai baada ya kuzuiwa na vifusi vya jengo hilo kwa siku 17.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

English

and what is [the matter] with you that you fight not in the cause of allah and [for] the oppressed among men, women, and children who say, "our lord, take us out of this city of oppressive people and appoint for us from yourself a protector and appoint for us from yourself a helper?"

Swahili

na mna nini msipigane katika njia ya mwenyezi mungu na ya wale wanao onewa, wanaume na wanawake na watoto, ambao husema: mola mlezi wetu! tutoe katika mji huu ambao watu wake ni madhaalimu, na tujaalie tuwe na mlinzi anaye toka kwako, na tujaalie tuwe na wa kutunusuru anaye toka kwako.

Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Get a better translation with
7,794,827,810 human contributions

Users are now asking for help:



We use cookies to enhance your experience. By continuing to visit this site you agree to our use of cookies. Learn more. OK