From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
a sense of citizenship may mean more than thinking independently and forming opinions that differ from the propaganda of the chinese government.
dhana ya uraia unaweza kuwa na maana zaidi ya kuwa na uhuru wa kufikiri na kuunda mawazo ambayo yanatofautiana na propaganda za serikali ya china.
the blogger quotes nasrallah saying that contrary to all propaganda, "iran is helping the oppressed".
mwanablogu huyo alimnukuu nasrallah akisema kwamba kinyume na propaganda zote, “irani inawasaidia wanaokandamizwa”.
in 2010, facebook was temporarily blocked for sometime on charges of malicious propaganda against the prime minister and hurting religious feelings.
mwaka 2010 mtandao wa facebook ulizuiwa kwa muda kufuatia mashitaka ya propaganda chafu dhidi ya waziri mkuu zilizodaiwa kusababisha usumbufu wa hisia za kidini kwa watu.
it's an irresponsible, foolish decision taken under the pressure of a constant propaganda flow of condolences to the deceased couple.
ni kutowajibika, na uamuzi wa kijinga uliochukuliwa chini ya shinikizo la mtiririko wa propaganda za salamu za rambirambi kwa wanandoa hao waliofariki.
official media in both russia and ukraine is fueling disagreements, while journalists and digital activists are making use of the web to fight back against misinformation and propaganda.
vyombo rasmi vya habari nchini urusi na ukraine vinachochea misuguano, wakati waandishi na wanaharakati wa mtandaoni wanatumia mtandao wa intaneti kupambana dhidi ya upotoshaji wa taarifa na propaganda.
she recommends alternative online news sources that focus on fact-checking, including elperiodistacivico.com, at a moment when disinformation and propaganda is confounding those trying to make sense of events.
anapendekeza vyanzo mbadala vya mtandaoni kwa minajili ya kuchunguza taarifa, ikiwa ni pamoja na elperiodistacivico.com, wakati huu ambao kuna upotoshwaji wa taarifa na propaganda zinawakwamisha wale wanaojaribu kuelewa hali halisi ya matukio yanayoendelea.
(...) there is a space that until now has been little explored by the national political forces, be it for political propaganda or electoral campaigns: the internet.
(...) kuna nafasi ambayo mpaka sasa haijatumiwa ipasavyo na vyama vya siasa nchini msumbiji, iwe ni kwa ajili ya kueneza propaganda za kisiasa au kufanya kampeni za uchaguzi: nalo ni mtandao wa intaneti.
derakhshan has been accused of “collaborating with enemy states, creating propaganda against the islamic regime, insulting religious sanctity, and creating propaganda for anti-revolutionary groups.”
derakshan anashitakiwa kwa "kushirikiana na dola adui, kupiga propaganda dhidi ya utawala wa kiislamu, kudhihaki utakatifu wa kidini, na kuandaa propaganda kwa ajili ya vikundi vinavyopinga mapinduzi."