From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
then paul stood in the midst of mars' hill, and said, ye men of athens, i perceive that in all things ye are too superstitious.
basi, paulo alisimama mbele ya baraza la areopago, akasema, "wananchi wa athene! ninaona kwamba ninyi, kwa vyovyote, ni watu wa dini sana.
it is unlawful for you to consume the following as food: an animal that has not been properly slaughtered, blood, pork, an animal slaughtered and consecrated in the name of someone other than god, an animal killed by strangulation or a violent blow, an animal killed by falling down, an animal which has been gored to death, an animal partly eaten by a wild beast before being properly slaughtered, an animal which has been sacrificed on the stone blocks (which pagans worshipped), and any flesh divided by casting superstitious and gambling arrows (a pagan tradition), which is a sin.
mmeharimishiwa nyamafu, na damu, na nyama ya nguruwe, na mnyama aliye chinjwa si kwa ajili ya mwenyezi mungu, na aliye kufa kwa kunyongeka koo, na aliye kufa kwa kupigwa, na aliye kufa kwa kuanguka, na aliye kufa kwa kupigwa pembe, aliye liwa na mnyama, ila mkimdiriki kumchinja. na pia ni haramu kula nyama aliye chinjiwa masanamu.