From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
then the twelve called the multitude of the disciples unto them, and said, it is not reason that we should leave the word of god, and serve tables.
kwa hiyo, mitume kumi na wawili waliita jumuiya yote ya wanafunzi, wakasema, "si vizuri sisi tuache kulihubiri neno la mungu ili tushughulikie ugawaji wa mahitaji.
and then today, i saw him helping people move their sewing machines, their tables, their bags of stuff farther down on our road as the government came through with the bulldozer.
na hivi leo, nilimuona akiwasaidia watu kuhamisha cherehani, meza na mapakacha ya makabrasha yao kuyapeleka mbali zaidi hapa barabarani kwetu wakati serikali ilipokuwa inakuja na magari ya kubomoa.
the incident has also triggered mass support and sympathy for khan's political party, with many speculating that it may turn the tables in the party's favor.
tukio hili pia limechochea idadi kubwa ya watu kukihurumia na kukiunga mkono chama cha siasa cha khan, huku wengi wakitabiri kuwa, hali hii inaweza kuwa kuwa msaada mkubwa kwa chama cha khan.
and they come to jerusalem: and jesus went into the temple, and began to cast out them that sold and bought in the temple, and overthrew the tables of the moneychangers, and the seats of them that sold doves;
basi, wakafika yerusalemu. yesu akaingia hekaluni, akaanza kuwafukuza nje watu waliokuwa wanauza na kununua vitu humo ndani. akazipindua meza za wale waliokuwa wakibadilishana fedha na viti vya wale waliokuwa wakiuza njiwa.