Trying to learn how to translate from the human translation examples.
verses
From: Machine Translation Suggest a better translation Quality:
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
Add a translation
swahili verses
mashairi ya kiswahili
Last Update: 2016-06-10 Usage Frequency: 1 Quality: Reference: Hamad_mbunge
these verses are a reminder
sivyo hivyo! huku ni kukumbushana.
Last Update: 2014-07-03 Usage Frequency: 1 Quality: Reference: Hamad_mbunge
god explains the verses to you.
na mwenyezi mungu anakubainisheni aya.
all its verses are from our lord."
na wale wenye msingi madhubuti katika ilimu husema: sisi tumeziamini, zote zimetoka kwa mola wetu mlezi.
Last Update: 2014-07-03 Usage Frequency: 1 Quality: Reference: Hamad_mbungeWarning: Contains invisible HTML formatting
these are verses of the wise book,
hizi ni aya za kitabu chenye hikima.
Last Update: 2014-07-03 Usage Frequency: 4 Quality: Reference: Hamad_mbunge
these are the verses of the wise book
hizo ni aya za kitabu chenye hikima.
these are the verses of the scripture.
(a. l. m. r.) hizi ni ishara za kitabu.
these are verses of the book of wisdom
these are the verses of the clear book.
hizi ni aya za kitabu kinacho bainisha.
Last Update: 2014-07-03 Usage Frequency: 3 Quality: Reference: Hamad_mbunge
ra. these are verses of the wise scripture.
and none reject our verses except the disbelievers.
na hawazikatai ishara zetu isipo kuwa makafiri.
indeed, he has been toward our verses obstinate.
kwani hakika yeye alikuwa akizifanyia inadi aya zetu!
and denied our verses with [emphatic] denial.
na wakikanusha aya zetu kwa nguvu.
none denies our verses, except the ungrateful traitor.
wala hazikanushi ishara zetu ila aliye khaini kafiri mkubwa.
[you] who believed in our verses and were muslims.
ambao waliziamini ishara zangu na walikuwa waislamu.
in this way we distinguish our verses for those who reflect.
namna hivi tunazipambanua ishara zetu kwa watu wanao fikiri.
you mock at allah and his verses and his noble messenger?”
sema: mlikuwa mkimfanyia maskhara mwenyezi mungu na ishara zake na mtume wake?
my verses were recited to you, but you turned upon your heels,
hakika zilikuwa aya zangu mkisomewa, nanyi mkirudi nyuma juu ya visigino vyenu,
“were not my verses recited to you, so you used to deny them?”
je! hazikuwa aya zangu mkisomewa, na nyinyi mkizikanusha?
look how we diversify the verses; then they [still] turn away.
angalia vipi tunavyo zieleza ishara, kisha wao wanapuuza.