From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
kui aga kristus on teie sees, siis on küll ihu surnud patu pärast; aga vaim on elu õiguse pärast.
lakini kama kristo yumo ndani yenu, ingawa miili yenu itakufa kwa sababu ya dhambi, kwenu roho ndiye uhai kwa sababu mmekubaliwa kuwa waadilifu.
aga ma tahan, et te teaksite, et kristus on iga mehe pea ja et mees on naise pea ja jumal on kristuse pea.
lakini napenda pia mjue kwamba kristo ni kichwa cha kila mwanamume, na mwanamume ni kichwa cha mkewe, na mungu ni kichwa cha kristo.
aga kristus kui poeg on tema koja üle; ja tema koda oleme meie, kui me julguse ning lootuse kiitlemise hoiame otsani kindla.
lakini kristo ni mwaminifu kama mwana mwenye mamlaka juu ya nyumba ya mungu. sisi ni nyumba yake kama tukizingatia uhodari wetu na uthabiti wetu katika kile tunachotumainia.
aga kui otsides õigekssaamist kristuses, meiegi osutume patusteks, kas on siis kristus patu teenija? ei sugugi mitte!
sasa, ikiwa katika kutafuta kukubaliwa kuwa waadilifu kwa kuungana na kristo sisi tunaonekana kuwa wenye dhambi, je, jambo hili lina maana kwamba kristo anasaidia utendaji wa dhambi? hata kidogo!
aga kui sinu vend saab nukraks roa pärast, siis ei käi sina enam armastuse järgi. Ära saada hukka oma roaga seda, kelle eest kristus on surnud.
kama ukimhuzunisha ndugu yako kwa sababu ya chakula unachokula, basi mwenendo wako hauongozwi na mapendo. usikubali hata kidogo chakula chako kiwe sababu ya kupotea kwa mtu mwingine ambaye kristo alikufa kwa ajili yake!
ja nad küsisid temalt ja ütlesid talle: „miks sa siis ristid, kui sa pole kristus ega eelija ega see prohvet?”
basi, wakamwuliza yohane, "kama wewe si kristo, wala eliya, wala yule nabii, mbona wabatiza?"