From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
ringraziando con gioia il padre che ci ha messi in grado di partecipare alla sorte dei santi nella luce
na kwa furaha, mshukuruni baba aliyewawezesha ninyi kuwa na sehemu yenu katika mambo yale mungu aliyowawekea watu wake katika utawala wa mwanga.
li abbiamo messi alla prova come abbiamo messo alla prova quelli del giardino che avevano giurato di fare il raccolto al mattino,
hakika tumewajaribu hawa kama tulivyo wajaribu wale wenye shamba, walipo apa kwamba watayavuna mazao yake itakapo kuwa asubuhi.
in quel tempo gesù passò tra le messi in giorno di sabato, e i suoi discepoli ebbero fame e cominciarono a cogliere spighe e le mangiavano
wakati huo, yesu alikuwa anapita katika mashamba ya ngano siku ya sabato. basi, wanafunzi wake wakaona njaa, wakaanza kukwanyua masuke ya ngano, wakala punje zake.
abbiamo fatto scendere dal cielo un'acqua benedetta, per mezzo della quale abbiamo fatto germogliare giardini e il grano delle messi,
na tumeteremsha kutoka mbinguni maji yaliyo barikiwa, na kwa hayo tukaotesha mabustani na nafaka za kuvunwa.
È la prima volta che l'onu ha dedicato un giorno internazionale a un singolo individuo riconoscendo in lui un simbolo di speranza per coloro che sono oppressi e messi ai margini.
ni mara ya kwanza kabisa ambapo taasisi hiyo kubwa duniani imetangaza siku ya kimataifa kwa jina la mtu binafsi, likimtambua mtu huyo kama alama ya matumaini hasa kwa wale wanaokangamizwa na kutengwa.
erode lo fece cercare accuratamente, ma non essendo riuscito a trovarlo, fece processare i soldati e ordinò che fossero messi a morte; poi scese dalla giudea e soggiornò a cesarèa
herode aliamuru ufanywe msako lakini hawakuweza kumpata. hivyo aliamuru wale askari wahojiwe, akatoa amri wauawe. halafu akatoka huko yudea akaenda kaisarea ambako alikaa.
rispose: «i giudei si sono messi d'accordo per chiederti di condurre domani paolo nel sinedrio, col pretesto di informarsi più accuratamente nei suoi riguardi
yeye akasema, "wayahudi wamepatana wakuombe umpeleke paulo barazani wakijisingizia kwamba baraza lingependa kupata habari kamili zaidi juu yake.
li abbiamo messi alla prova così, gli uni con gli altri, affinché dicano: “sono questi coloro fra noi che allah ha favorito?”.
na hivi ndivyo tunavyo wajaribu wao kwa wao, ili waseme: ni hao ndio mwenyezi mungu amewafadhilisha miongoni mwetu?
alla stessa maniera, fratelli miei, anche voi, mediante il corpo di cristo, siete stati messi a morte quanto alla legge, per appartenere ad un altro, cioè a colui che fu risuscitato dai morti, affinché noi portiamo frutti per dio
hali kadhalika ninyi ndugu zangu: ninyi pia mmekufa kuhusu sheria kwa kuwa ninyi ni sehemu ya mwili wa kristo; sasa mmekuwa wake yeye aliyefufuliwa kutoka wafu ili tupate kuzaa matunda mema kwa ajili ya mungu.