Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
ut illam sanctificaret mundans lavacro aquae in verb
alifanya hivyo, ili kwa neno lake, aliweke wakfu kwa mungu, baada ya kulifanya safi kwa kuliosha katika maji,
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
sed aqua quam dabo ei fiet in eo fons aquae salientis in vitam aeterna
lakini atakayekunywa maji nitakayompa mimi, hataona kiu milele. maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji ya uzima na kumpatia uzima wa milele."
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
in his iacebat multitudo magna languentium caecorum claudorum aridorum expectantium aquae motu
humo barazani mlikuwa na wagonjwa wengi wamekaa: vipofu, viwete na waliopooza. walikuwa wakingojea maji yatibuliwe,
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
et ostendit mihi fluvium aquae vitae splendidum tamquam cristallum procedentem de sede dei et agn
kisha malaika akanionyesha mto wa maji ya uzima maangavu kama kioo yakitoka kwenye kiti cha enzi cha mungu na mwanakondoo.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
erat autem et iohannes baptizans in aenon iuxta salim quia aquae multae erant illic et adveniebant et baptizabantu
yohane pia alikuwa akibatiza watu huko ainoni, karibu na salemu, maana huko kulikuwa na maji mengi. watu walimwendea, naye akawabatiza.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
et dixit mihi factum est ego sum alpha et omega initium et finis ego sitienti dabo de fonte aquae vivae grati
kisha akaniambia, "yametimia! mimi ni alfa na omega, mwanzo na mwisho. aliye na kiu nitampa kinywaji cha bure kutoka katika chemchemi ya maji ya uzima.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
accedentes autem suscitaverunt eum dicentes praeceptor perimus at ille surgens increpavit ventum et tempestatem aquae et cessavit et facta est tranquillita
wale wanafunzi wakamwendea yesu, wakamwamsha wakisema, "bwana, bwana! tunaangamia!" yesu akaamka, akaikemea dhoruba na mawimbi, navyo vikatulia, kukawa shwari.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting