Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
et ibunt hii in supplicium aeternum iusti autem in vitam aeterna
basi, hawa watakwenda kwenye adhabu ya milele, lakini wale waadilifu watakwenda kwenye uzima wa milele."
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
in exemplum iusti iudicii dei ut digni habeamini regno dei pro quo et patimin
hayo yote yanathibitisha kwamba hukumu ya mungu ni ya haki, na matokeo yake ninyi mtastahili utawala wake ambao kwa ajili yake mnateseka.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
dixit autem et ad quosdam qui in se confidebant tamquam iusti et aspernabantur ceteros parabolam ista
halafu yesu aliwaambia pia mfano wa wale ambao walijiona kuwa wema na kuwadharau wengine.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
secundum duritiam autem tuam et inpaenitens cor thesaurizas tibi iram in die irae et revelationis iusti iudicii de
lakini unao ugumu na ukaidi wa moyo, na hivyo unajilundikia adhabu kwa siku ile ambayo ghadhabu ya mungu na hukumu zake za haki vitadhihirishwa.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
confitemini ergo alterutrum peccata vestra et orate pro invicem ut salvemini multum enim valet deprecatio iusti adsidu
basi, ungamanianeni dhambi zenu, na ombeaneni, ili mpate kuponywa. sala ya mtu mwema ina nguvu ya kutenda mengi.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
amen quippe dico vobis quia multi prophetae et iusti cupierunt videre quae videtis et non viderunt et audire quae auditis et non audierun
kweli nawaambieni, manabii na watu wengi wema walitamani kuyaona yale mnayoyaona, wasiyaone, na kuyasikia yale mnayoyasikia, wasiyasikie.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
videns autem pilatus quia nihil proficeret sed magis tumultus fieret accepta aqua lavit manus coram populo dicens innocens ego sum a sanguine iusti huius vos videriti
basi, pilato alipotambua kwamba hafanikiwi chochote na kwamba maasi yalikuwa yanaanza, alichukua maji, akanawa mikono mbele ya ule umati wa watu, akasema, "mimi sina lawama juu ya kifo cha mtu huyu; shauri lenu wenyewe."
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
ut veniat super vos omnis sanguis iustus qui effusus est super terram a sanguine abel iusti usque ad sanguinem zacchariae filii barachiae quem occidistis inter templum et altar
hivyo lawama yote itawapateni kwa ajili ya damu yote ya watu wema iliyomwagwa juu ya ardhi. naam, tangu kuuawa kwa abeli ambaye hakuwa na hatia, mpaka kuuawa kwa zakariya, mwana wa barakia, ambaye mlimuua hekaluni kati ya patakatifu na madhabahu.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality: