Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
et cum dies factus esset miserunt magistratus lictores dicentes dimitte homines illo
kesho yake asubuhi, mahakimu waliwatuma maofisa wao wakisema, "wafungueni wale watu."
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
et concurrit plebs adversus eos et magistratus scissis tunicis eorum iusserunt virgis caed
kundi la watu likajiunga nao, likawashambulia. wale mahakimu wakawatatulia paulo na sila mavazi yao, wakaamuru wapigwe viboko.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
tunc abiit magistratus cum ministris et adduxit illos sine vi timebant enim populum ne lapidarentu
hapo mkuu wa walinzi wa hekalu pamoja na watu wake walikwenda hekaluni, akawaleta. lakini hawakuwakamata kwa kutumia nguvu, maana waliogopa kwamba watu wangewapiga mawe.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
ut audierunt autem hos sermones magistratus templi et principes sacerdotum ambigebant de illis quidnam fiere
mkuu wa walinzi wa hekalu na makuhani wakuu waliposikia habari hiyo wakawa na wasiwasi, wasijue yaliyowapata.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
nuntiavit autem custos carceris verba haec paulo quia miserunt magistratus ut dimittamini nunc igitur exeuntes ite in pac
yule askari wa gereza alimpasha habari paulo: "mahakimu wametuma ujumbe ili mfunguliwe. sasa mnaweza kutoka na kwenda zenu kwa amani."
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
cum autem inducent vos in synagogas et ad magistratus et potestates nolite solliciti esse qualiter aut quid respondeatis aut quid dicati
"watakapowapeleka ninyi mbele ya masunagogi na mbele ya wakuu na watawala msiwe na wasiwasi juu ya jinsi mtakavyojitetea au jinsi mtakavyosema.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
dixit autem iesus ad eos qui venerant ad se principes sacerdotum et magistratus templi et seniores quasi ad latronem existis cum gladiis et fustibu
kisha yesu akawaambia makuhani wakuu, wakubwa wa walinzi wa hekalu na wazee waliokuja kumkamata: "je, mmekuja na mapanga na marungu kunikamata kana kwamba mimi ni mnyang'anyi?
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting