From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
eebana waa kan ka soo dejiya samada biyo, kuna nooleeya dhulka abaar ka dib, arrintaasna calaamad yaa ugu sugan ciddii wax maqli.
na mwenyezi mungu ameteremsha maji kutoka mbinguni na kwa hayo akaihuisha ardhi baada ya kufa kwake. kwa hakika katika hayo imo ishara kwa watu wanao sikia.
eebe waa kan abuuray samooyinka iyo dhulka kana soo dejiyey samada biyo kuna soo bixiyey midho rizqigiinna dartiis, idiinna sakhiray doonta inay ku socoto badda amarka eebe idiinna sakhiray wabiyada.
na kwa hayo akatoa matunda kuwa ni riziki yenu. na akafanya yakutumikieni majahazi yanayo pita baharini kwa amri yake, na akaifanya mito ikutumikieni.
cirka abuurkiisa iyo dhulka iyo kala duwanaanta habeenka iyo maalinka iyo doonta la socota badda wax anfaca dadka iyo waxa eebe ka soo dajiyay samada oo biyo ah kuna nooleeyay dhulka intuu dhintay ka dib, kuna fidiyay dhulka daabad kasta iyo gadgadoonka dabaysha iyo daruuraha loo sahlay samada iyo dhulka dhexdiisa waxaa ugu sugan calaamo kuwa wax kasi.
hakika katika kuumbwa kwa mbingu na ardhi, na kukhitalifiana usiku na mchana, na marikebu ambazo hupita baharini kwa viwafaavyo watu, na maji anayo yateremsha mwenyezi mungu kutoka mbinguni, na kwa hayo akaihuisha ardhi baada ya kufa kwake, na akaeneza humo kila aina ya wanyama; na katika mabadiliko ya pepo, na mawingu yanayo amrishwa kupita baina ya mbingu na ardhi, bila shaka zimo ishara kwa watu wanao zingatia.