From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
al salir de nuevo de los territorios de tiro, fue por sidón al mar de galilea, atravesando el territorio de decápolis
kisha yesu aliondoka wilayani tiro, akapitia sidoni, akafika ziwa galilaya kwa kupitia nchi ya dekapoli.
después de esto, andaba jesús por galilea. no quería andar por judea, porque los judíos le buscaban para matarlo
baada ya hayo, yesu alikuwa akitembea katika galilaya. hakutaka kutembea mkoani yudea kwa sababu viongozi wa wayahudi walikuwa wanataka kumwua.
cuando jesús estaba en galilea, éstas le seguían y le servían. también había muchas otras que habían subido con él a jerusalén
hawa walimfuata yesu alipokuwa galilaya na kumtumikia. kulikuwa na wanawake wengine wengi waliokuja yerusalemu pamoja naye.
aconteció que, cuando jesús acabó estas palabras, partió de galilea y fue a las fronteras de judea, al otro lado del jordán
yesu alipomaliza kusema maneno hayo, alitoka galilaya, akaenda katika mkoa wa yudea, ng'ambo ya mto yordani.
estaban juntos simón pedro, tomás llamado dídimo, natanael que era de caná de galilea, los hijos de zebedeo y otros dos de sus discípulos
simoni petro, thoma (aitwaye pacha), na nathanieli mwenyeji wa kana galilaya, wana wawili wa zebedayo na wanafunzi wake wengine wawili, walikuwa wote pamoja.
cuando éste oyó que jesús había salido de judea y estaba presente en galilea, fue a él y le rogaba que descendiese y sanase a su hijo, porque estaba a punto de morir
basi, huyo ofisa aliposikia kuwa yesu alikuwa ametoka yudea na kufika galilaya, alimwendea akamwomba aende kumponya mtoto wake aliyekuwa mgonjwa mahututi.
entonces jesús les dijo: --no temáis. id, dad las nuevas a mis hermanos, para que vayan a galilea. allí me verán
kisha yesu akawaambia, "msiogope! nendeni mkawaambie ndugu zangu waende galilaya, na huko wataniona."
entonces josé también subió desde galilea, de la ciudad de nazaret, a judea, a la ciudad de david que se llama belén, porque él era de la casa y de la familia de david
yosefu pia alifanya safari kutoka mjini nazareti mkoani galilaya. kwa kuwa alikuwa wa jamaa na ukoo wa daudi alikwenda mjini bethlehemu mkoani yuda alikozaliwa mfalme daudi.