プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
después de esto, andaba jesús por galilea. no quería andar por judea, porque los judíos le buscaban para matarlo
baada ya hayo, yesu alikuwa akitembea katika galilaya. hakutaka kutembea mkoani yudea kwa sababu viongozi wa wayahudi walikuwa wanataka kumwua.
estaban juntos simón pedro, tomás llamado dídimo, natanael que era de caná de galilea, los hijos de zebedeo y otros dos de sus discípulos
simoni petro, thoma (aitwaye pacha), na nathanieli mwenyeji wa kana galilaya, wana wawili wa zebedayo na wanafunzi wake wengine wawili, walikuwa wote pamoja.
cuando éste oyó que jesús había salido de judea y estaba presente en galilea, fue a él y le rogaba que descendiese y sanase a su hijo, porque estaba a punto de morir
basi, huyo ofisa aliposikia kuwa yesu alikuwa ametoka yudea na kufika galilaya, alimwendea akamwomba aende kumponya mtoto wake aliyekuwa mgonjwa mahututi.
entonces josé también subió desde galilea, de la ciudad de nazaret, a judea, a la ciudad de david que se llama belén, porque él era de la casa y de la familia de david
yosefu pia alifanya safari kutoka mjini nazareti mkoani galilaya. kwa kuwa alikuwa wa jamaa na ukoo wa daudi alikwenda mjini bethlehemu mkoani yuda alikozaliwa mfalme daudi.