Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
alisema hayo kisha akabaki huko galilaya.
ይህንም አላቸውና በገሊላ ቀረ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini nikisha fufuka, nitawatangulieni kule galilaya."
ነገር ግን ከተነሣሁ በኋላ ወደ ገሊላ እቀድማችኋለሁ አላቸው።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
yesu aliposikia kwamba yohane ametiwa gerezani alikwenda galilaya.
ኢየሱስም ዮሐንስ አልፎ እንደ ተሰጠ በሰማ ጊዜ ወደ ገሊላ ፈቀቅ ብሎ ሄደ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
hayuko hapa; amefufuka. kumbukeni aliyowaambieni alipokuwa kule galilaya:
የሰው ልጅ በኃጢአተኞች እጅ አልፎ ሊሰጥና ሊሰቀል በሦስተኛውም ቀን ሊነሣ ግድ ነው እያለ ገና በገሊላ ሳለ ለእናንተ እንደ ተናገረ አስቡ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
habari za yesu zikaenea upesi kila mahali katika wilaya ya galilaya.
ዝናውም ወዲያው በየስፍራው ወደ ገሊላ ዙሪያ ሁሉ ወጣ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
wale wanafunzi kumi na mmoja walikwenda galilaya kwenye ule mlima aliowaagiza yesu.
አሥራ አንዱ ደቀ መዛሙርት ግን ኢየሱስ ወዳዘዛቸው ተራራ ወደ ገሊላ ሄዱ፥
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu alitoka hapo akaenda kando ya ziwa galilaya, akapanda mlimani, akaketi.
ኢየሱስም ከዚያ አልፎ ወደ ገሊላ ባሕር አጠገብ መጣ፥ ወደ ተራራም ወጥቶ በዚያ ተቀመጠ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
pilato aliposikia hayo, akauliza, "je, mtu huyu ni mwenyeji wa galilaya?"
ጲላጦስ ግን። ገሊላ ሲሉ በሰማ ጊዜ። የገሊላ ሰው ነውን? ብሎ ጠየቀ፤
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
wakati huo yesu alitoka galilaya akafika katika mto yordani, akamwendea yohane ili abatizwe naye.
ያን ጊዜ ኢየሱስ በዮሐንስ ሊጠመቅ ከገሊላ ወደ ዮርዳኖስ መጣ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kisha yesu akashuka mpaka kafarnaumu katika mkoa wa galilaya, akawa anawafundisha watu siku ya sabato.
ወደ ገሊላ ከተማም ወደ ቅፍርናሆም ወረደ። በሰንበትም ያስተምራቸው ነበር፤
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
marafiki zake wote pamoja na wale wanawake walioandamana naye kutoka galilaya, walisimama kwa mbali kutazama tukio hilo.
የሚያውቁቱ ግን ሁሉ ከገሊላ የተከተሉት ሴቶችም ይህን እያዩ በሩቅ ቆመው ነበር።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
yohane alipokwisha fungwa gerezani, yesu alikwenda galilaya, akahubiri habari njema ya mungu, akisema,
ዮሐንስም አልፎ ከተሰጠ በኋላ ኢየሱስ የእግዚአብሔርን መንግሥት ወንጌል እየሰበከና። ዘመኑ ተፈጸመ የእግዚአብሔርም መንግሥት ቀርባለች ንስሐ ግቡ በወንጌልም እመኑ እያለ ወደ ገሊላ መጣ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu alifanya ishara hii ya kwanza huko kana, galilaya, akaonyesha utukufu wake; nao wanafunzi wake wakamwamini.
ኢየሱስ ይህን የምልክቶች መጀመሪያ በገሊላ ቃና አደረገ፤ ክብሩንም ገለጠ፥ ደቀ መዛሙርቱም በእርሱ አመኑ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
walistaajabu na kushangaa, wakisema, "je, hawa wote tunaowasikia wakisema hivi, si wenyeji wa galilaya?
ተገርመውም ተደንቀውም እንዲህ አሉ። እነሆ፥ እነዚህ የሚናገሩት ሁሉ የገሊላ ሰዎች አይደሉምን?
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
yesu alipomaliza kusema maneno hayo, alitoka galilaya, akaenda katika mkoa wa yudea, ng'ambo ya mto yordani.
ኢየሱስም ይህን ነገር ከፈጸመ በኋላ፥ ከገሊላ ሄዶ ወደ ይሁዳ አውራጃ ወደ ዮርዳኖስ ማዶ መጣ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
hao walimwendea filipo, mwenyeji wa bethsaida katika galilaya, wakasema, "mheshimiwa, tunataka kumwona yesu."
እነርሱም ከገሊላ ቤተ ሳይዳ ወደሚሆን ወደ ፊልጶስ መጥተው። ጌታ ሆይ፥ ኢየሱስን ልናይ እንወዳለን ብለው ለመኑት።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
yesu alifika tena huko mjini kana, mkoani galilaya, mahali alipogeuza maji kuwa divai. kulikuwa na ofisa mmoja aliyekuwa na mtoto mgonjwa huko kafarnaumu.
ኢየሱስም ውኃውን የወይን ጠጅ ወዳደረገባት ወደ ገሊላ ቃና ዳግመኛ መጣ። በቅፍርናሆምም ልጁ የታመመበት ከንጉሥ ቤት አንድ ሹም ነበረ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
wakati huo kanisa likawa na amani popote katika yudea, galilaya, na samaria. lilijengwa na kukua katika kumcha bwana, na kuongezeka likitiwa moyo na roho mtakatifu.
በይሁዳም ሁሉና በገሊላ በሰማርያም የነበሩት አብያተ ክርስቲያናት በሰላም ኖሩ ታነጹም፤ በእግዚአብሔርም ፍርሃትና በመንፈስ ቅዱስ መጽናናት እየሄዱ ይበዙ ነበር።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini wao wakasisitiza wakisema: "anawachochea watu kwa mafundisho yake katika nchi yote ya yudea; alianza galilaya, na sasa yuko hapa."
እነርሱ ግን አጽንተው። ከገሊላ ጀምሮ እስከዚህ ድረስ በይሁዳ ሁሉ እያስተማረ ሕዝቡን ያውካል አሉ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
siku moja yesu alikuwa akifundisha. mafarisayo na walimu wa sheria kutoka katika kila kijiji cha galilaya, yudea na yerusalemu, walikuwa wameketi hapo. nguvu ya bwana ilikuwa pamoja naye kwa ajili ya kuponyea wagonjwa.
አንድ ቀንም ያስተምር ነበር፤ ከገሊላና ከይሁዳ መንደሮችም ሁሉ ከኢየሩሳሌምም መጥተው የነበሩ ፈሪሳውያንና የሕግ መምህራን ይቀመጡ ነበር፤ እርሱም እንዲፈውስ የጌታ ኃይል ሆነለት።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality: