Aprendiendo a traducir con los ejemplos de traducciones humanas.
De traductores profesionales, empresas, páginas web y repositorios de traducción de libre uso.
alisema hayo kisha akabaki huko galilaya.
ይህንም አላቸውና በገሊላ ቀረ።
Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
lakini nikisha fufuka, nitawatangulieni kule galilaya."
ነገር ግን ከተነሣሁ በኋላ ወደ ገሊላ እቀድማችኋለሁ አላቸው።
Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
Advertencia: contiene formato HTML invisible
yesu aliposikia kwamba yohane ametiwa gerezani alikwenda galilaya.
ኢየሱስም ዮሐንስ አልፎ እንደ ተሰጠ በሰማ ጊዜ ወደ ገሊላ ፈቀቅ ብሎ ሄደ።
Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
hayuko hapa; amefufuka. kumbukeni aliyowaambieni alipokuwa kule galilaya:
የሰው ልጅ በኃጢአተኞች እጅ አልፎ ሊሰጥና ሊሰቀል በሦስተኛውም ቀን ሊነሣ ግድ ነው እያለ ገና በገሊላ ሳለ ለእናንተ እንደ ተናገረ አስቡ።
Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
habari za yesu zikaenea upesi kila mahali katika wilaya ya galilaya.
ዝናውም ወዲያው በየስፍራው ወደ ገሊላ ዙሪያ ሁሉ ወጣ።
Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
wale wanafunzi kumi na mmoja walikwenda galilaya kwenye ule mlima aliowaagiza yesu.
አሥራ አንዱ ደቀ መዛሙርት ግን ኢየሱስ ወዳዘዛቸው ተራራ ወደ ገሊላ ሄዱ፥
Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
yesu alitoka hapo akaenda kando ya ziwa galilaya, akapanda mlimani, akaketi.
ኢየሱስም ከዚያ አልፎ ወደ ገሊላ ባሕር አጠገብ መጣ፥ ወደ ተራራም ወጥቶ በዚያ ተቀመጠ።
Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
pilato aliposikia hayo, akauliza, "je, mtu huyu ni mwenyeji wa galilaya?"
ጲላጦስ ግን። ገሊላ ሲሉ በሰማ ጊዜ። የገሊላ ሰው ነውን? ብሎ ጠየቀ፤
Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
Advertencia: contiene formato HTML invisible
wakati huo yesu alitoka galilaya akafika katika mto yordani, akamwendea yohane ili abatizwe naye.
ያን ጊዜ ኢየሱስ በዮሐንስ ሊጠመቅ ከገሊላ ወደ ዮርዳኖስ መጣ።
Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
kisha yesu akashuka mpaka kafarnaumu katika mkoa wa galilaya, akawa anawafundisha watu siku ya sabato.
ወደ ገሊላ ከተማም ወደ ቅፍርናሆም ወረደ። በሰንበትም ያስተምራቸው ነበር፤
Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
marafiki zake wote pamoja na wale wanawake walioandamana naye kutoka galilaya, walisimama kwa mbali kutazama tukio hilo.
የሚያውቁቱ ግን ሁሉ ከገሊላ የተከተሉት ሴቶችም ይህን እያዩ በሩቅ ቆመው ነበር።
Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
yohane alipokwisha fungwa gerezani, yesu alikwenda galilaya, akahubiri habari njema ya mungu, akisema,
ዮሐንስም አልፎ ከተሰጠ በኋላ ኢየሱስ የእግዚአብሔርን መንግሥት ወንጌል እየሰበከና። ዘመኑ ተፈጸመ የእግዚአብሔርም መንግሥት ቀርባለች ንስሐ ግቡ በወንጌልም እመኑ እያለ ወደ ገሊላ መጣ።
Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
yesu alifanya ishara hii ya kwanza huko kana, galilaya, akaonyesha utukufu wake; nao wanafunzi wake wakamwamini.
ኢየሱስ ይህን የምልክቶች መጀመሪያ በገሊላ ቃና አደረገ፤ ክብሩንም ገለጠ፥ ደቀ መዛሙርቱም በእርሱ አመኑ።
Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
walistaajabu na kushangaa, wakisema, "je, hawa wote tunaowasikia wakisema hivi, si wenyeji wa galilaya?
ተገርመውም ተደንቀውም እንዲህ አሉ። እነሆ፥ እነዚህ የሚናገሩት ሁሉ የገሊላ ሰዎች አይደሉምን?
Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
Advertencia: contiene formato HTML invisible
yesu alipomaliza kusema maneno hayo, alitoka galilaya, akaenda katika mkoa wa yudea, ng'ambo ya mto yordani.
ኢየሱስም ይህን ነገር ከፈጸመ በኋላ፥ ከገሊላ ሄዶ ወደ ይሁዳ አውራጃ ወደ ዮርዳኖስ ማዶ መጣ።
Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
hao walimwendea filipo, mwenyeji wa bethsaida katika galilaya, wakasema, "mheshimiwa, tunataka kumwona yesu."
እነርሱም ከገሊላ ቤተ ሳይዳ ወደሚሆን ወደ ፊልጶስ መጥተው። ጌታ ሆይ፥ ኢየሱስን ልናይ እንወዳለን ብለው ለመኑት።
Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
Advertencia: contiene formato HTML invisible
yesu alifika tena huko mjini kana, mkoani galilaya, mahali alipogeuza maji kuwa divai. kulikuwa na ofisa mmoja aliyekuwa na mtoto mgonjwa huko kafarnaumu.
ኢየሱስም ውኃውን የወይን ጠጅ ወዳደረገባት ወደ ገሊላ ቃና ዳግመኛ መጣ። በቅፍርናሆምም ልጁ የታመመበት ከንጉሥ ቤት አንድ ሹም ነበረ።
Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
wakati huo kanisa likawa na amani popote katika yudea, galilaya, na samaria. lilijengwa na kukua katika kumcha bwana, na kuongezeka likitiwa moyo na roho mtakatifu.
በይሁዳም ሁሉና በገሊላ በሰማርያም የነበሩት አብያተ ክርስቲያናት በሰላም ኖሩ ታነጹም፤ በእግዚአብሔርም ፍርሃትና በመንፈስ ቅዱስ መጽናናት እየሄዱ ይበዙ ነበር።
Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
lakini wao wakasisitiza wakisema: "anawachochea watu kwa mafundisho yake katika nchi yote ya yudea; alianza galilaya, na sasa yuko hapa."
እነርሱ ግን አጽንተው። ከገሊላ ጀምሮ እስከዚህ ድረስ በይሁዳ ሁሉ እያስተማረ ሕዝቡን ያውካል አሉ።
Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
Advertencia: contiene formato HTML invisible
siku moja yesu alikuwa akifundisha. mafarisayo na walimu wa sheria kutoka katika kila kijiji cha galilaya, yudea na yerusalemu, walikuwa wameketi hapo. nguvu ya bwana ilikuwa pamoja naye kwa ajili ya kuponyea wagonjwa.
አንድ ቀንም ያስተምር ነበር፤ ከገሊላና ከይሁዳ መንደሮችም ሁሉ ከኢየሩሳሌምም መጥተው የነበሩ ፈሪሳውያንና የሕግ መምህራን ይቀመጡ ነበር፤ እርሱም እንዲፈውስ የጌታ ኃይል ሆነለት።
Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad: