Results for mtoto wa nguruwe anitwa translation from Swahili to Amharic

Computer translation

Trying to learn how to translate from the human translation examples.

Swahili

Amharic

Info

Swahili

mtoto wa nguruwe anitwa

Amharic

 

From: Machine Translation
Suggest a better translation
Quality:

Human contributions

From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.

Add a translation

Swahili

Amharic

Info

Swahili

utachukua mimba, utamzaa mtoto wa kiume na utampa jina yesu.

Amharic

እነሆም፥ ትፀንሻለሽ ወንድ ልጅም ትወልጃለሽ፥ ስሙንም ኢየሱስ ትዪዋለሽ።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

wakati wa kujifungua kwake elisabeti ulifika, akajifungua mtoto wa kiume.

Amharic

የኤልሳቤጥም የመውለጃዋ ጊዜ ደረሰ፥ ወንድ ልጅም ወለደች።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

lakini hakumjua kamwe kimwili hata maria alipojifungua mtoto wa kiume. naye yosefu akampa jina yesu.

Amharic

የበኩር ልጅዋንም እስክትወልድ ድረስ አላወቃትም፤ ስሙንም ኢየሱስ አለው።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

joka lilipotambua kwamba limetupwa chini duniani, likaanza kumwinda yule mama aliyekuwa amejifungua mtoto wa kiume.

Amharic

ዘንዶውም ወደ ምድር እንደ ተጣለ ባየ ጊዜ ወንድ ልጅ የወለደችውን ሴት አሳደዳት።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

maana kila aliye mtoto wa mungu anaweza kuushinda ulimwengu. hivi ndivyo tunavyoushinda ulimwengu: kwa imani yetu.

Amharic

ከእግዚአብሔር የተወለደ ሁሉ ዓለምን ያሸንፋልና፤ ዓለምንም የሚያሸንፈው እምነታችን ነው።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

atajifungua mtoto wa kiume, nawe utampa jina yesu, kwa kuwa yeye atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao."

Amharic

ልጅም ትወልዳለች፤ እርሱ ሕዝቡን ከኃጢአታቸው ያድናቸዋልና ስሙን ኢየሱስ ትለዋለህ።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

kila mtu anayeamini kwamba yesu ni kristo, huyo ni mtoto wa mungu; na, anayempenda mzazi humpenda pia mtoto wa huyo mzazi.

Amharic

ክርስቶስ ነው ብሎ በኢየሱስ የሚያምን ሁሉ ከእግዚአብሔር ተወልዶአል፥ ወላጁንም የሚወድ ሁሉ ከእርሱ የተወለደውን ደግሞ ይወዳል።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

wapenzi wangu, tupendane, maana upendo hutoka kwa mungu. kila mtu aliye na upendo ni mtoto wa mungu, na anamjua mungu.

Amharic

ወዳጆች ሆይ፥ ፍቅር ከእግዚአብሔር ስለ ሆነ፥ የሚወደውም ሁሉ ከእግዚአብሔር ስለ ተወለደ እግዚአብሔርንም ስለሚያውቅ፥ እርስ በርሳችን እንዋደድ።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

kila aliye mtoto wa mungu hatendi dhambi, maana anayo hali ya kimungu ndani yake; hawezi kutenda dhambi kwa sababu yeye ni mtoto wa mungu.

Amharic

ስለዚህ የዲያብሎስን ሥራ እንዲያፈርስ የእግዚአብሔር ልጅ ተገለጠ። ከእግዚአብሔር የተወለደ ሁሉ ኃጢአትን አያደርግም፥ ዘሩ በእርሱ ይኖራልና፤ ከእግዚአብሔርም ተወልዶአልና ኃጢአትን ሊያደርግ አይችልም።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

lakini yeyote asiyetenda mambo maadilifu, au asiyempenda ndugu yake, huyo si mtoto wa mungu. hiyo ndiyo tofauti iliyoko kati ya watoto wa mungu na watoto wa ibilisi.

Amharic

የእግዚአብሔር ልጆችና የዲያብሎስ ልጆች በዚህ የተገለጡ ናቸው፤ ጽድቅን የማያደርግና ወንድሙን የማይወድ ሁሉ ከእግዚአብሔር አይደለም።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

lakini malaika akamwambia, "zakariya, usiogope, kwa maana sala yako imesikilizwa, na elisabeti mkeo atakuzalia mtoto wa kiume, nawe utampa jina yohane.

Amharic

መልአኩም እንዲህ አለው። ዘካርያስ ሆይ፥ ጸሎትህ ተሰምቶልሃልና አትፍራ ሚስትህ ኤልሳቤጥም ወንድ ልጅ ትወልድልሃለች፥ ስሙንም ዮሐንስ ትለዋለህ።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

"bikira atachukua mimba, atamzaa mtoto wa kiume, naye ataitwa emanueli" (maana yake, "mungu yu pamoja nasi").

Amharic

እነሆ፥ ድንግል ትፀንሳለች ልጅም ትወልዳለች፥ ስሙንም አማኑኤል ይሉታል የተባለው ይፈጸም ዘንድ ይህ ሁሉ ሆኖአል፥ ትርጓሜውም። እግዚአብሔር ከእኛ ጋር የሚል ነው።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

lakini maandiko matakatifu yasemaje? yasema: "mfukuze mama mtumwa pamoja na mwanawe; maana mtoto wa mtumwa hatarithi pamoja na mtoto wa mama huru."

Amharic

ነገር ግን መጽሐፍ ምን ይላል? የባሪያይቱ ልጅ ከጨዋይቱ ልጅ ጋር አይወርስምና ባሪያይቱን ከልጅዋ ጋር አውጣት።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

je, ni nani kati ya hawa wawili aliyetimiza matakwa ya baba yake?" wakamjibu, "yule mtoto wa kwanza." basi, yesu akawaambia, "kweli nawaambieni, watoza ushuru na waasherati wataingia katika ufalme wa mungu kabla yenu.

Amharic

ከሁለቱ የአባቱን ፈቃድ ያደረገ ማን ነው? ፊተኛው አሉት። ኢየሱስ እንዲህ አላቸው። እውነት እላችኋለሁ፥ ቀራጮችና ጋለሞቶች ወደ እግዚአብሔር መንግሥት በመግባት ይቀድሙአችኋል።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Some human translations with low relevance have been hidden.
Show low-relevance results.

Get a better translation with
7,781,186,930 human contributions

Users are now asking for help:



We use cookies to enhance your experience. By continuing to visit this site you agree to our use of cookies. Learn more. OK