From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
wakanunua nazo shamba la mfinyanzi, kama bwana alivyoniagiza."
ጌታም እንዳዘዘኝ ስለ ሸክላ ሠሪ መሬት ሰጡት። የሚል ተፈጸመ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
ndiyo maana mpaka leo shamba hilo linaitwa shamba la damu.
ስለዚህ ያ መሬት እስከ ዛሬ ድረስ የደም መሬት ተባለ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, wakamkamata, wakamtoa nje ya lile shamba la mizabibu, wakamwua.
ይዘውም ከወይኑ አትክልት አወጡና ገደሉት።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa hiyo wakamkamata, wakamuua na kumtupa nje ya lile shamba la mizabibu.
ይዘውም ገደሉት፥ ከወይኑም አትክልት ወደ ውጭ ጣሉት።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa hivyo mwombeni mwenye shamba atume wavunaji shambani mwake."
እንግዲህ የመከሩን ጌታ ወደ መከሩ ሠራተኞች እንዲልክ ለምኑት አላቸው።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
"sasa, huyo mwenye shamba la mizabibu atakapokuja, atawafanyaje hao wakulima?"
እንግዲህ የወይኑ አትክልት ጌታ በሚመጣ ጊዜ በእነዚህ ገበሬዎች ምን ያደርግባቸዋል?
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
basi, wakashauriana, wakazitumia kununua shamba la mfinyanzi liwe mahali pa kuzika wageni.
ተማክረውም የሸክላ ሠሪውን መሬት ለእንግዶች መቃብር ገዙበት።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
yeye pia alikuwa na shamba lake, akaliuza; akazichukua zile fedha, akawakabidhi mitume.
እርሻም ነበረውና ሽጦ ገንዘቡን አምጥቶ ከሐዋርያት እግር አጠገብ አኖረው።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
wakati wa mavuno, alimtuma mtumishi wake kwa wale wakulima akamletee sehemu ya mazao ya shamba lake.
በጊዜውም ከወይን አትክልት ፍሬ ከገበሬዎቹ እንዲቀበል አንድ ባሪያ ወደ ገበሬዎቹ ላከ፤
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
hakika tumewajaribu hawa kama tulivyo wajaribu wale wenye shamba , walipo apa kwamba watayavuna mazao yake itakapo kuwa asubuhi .
እኛ የአትክልቲቱን ባለቤቶቸ እንደ ሞከርን ( የመካን ሰዎች ) ሞከርናቸው ፡ ፡ ማልደው ( ፍሬዋን ) ሊለቅሟት በማሉ ጊዜ ፡ ፡
Last Update: 2014-07-02
Usage Frequency: 1
Quality:
kisha akawaambia mfano: "kulikuwa na tajiri mmoja ambaye shamba lake lilizaa mavuno mengi.
ምሳሌም ነገራቸው እንዲህ ሲል። አንድ ባለ ጠጋ ሰው እርሻ እጅግ ፍሬያም ሆነችለት።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
wakamjibu: kwa sababu hakuna mtu aliyetuajiri. yeye akawaambia, nendeni nanyi mkafanye kazi katika shamba la mizabibu.
የሚቀጥረን ስለ አጣን ነው አሉት። እርሱም። እናንተ ደግሞ ወደ ወይኔ አትክልት ሂዱ የሚገባውንም ትቀበላላችሁ አላቸው።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu akawaambia watu mfano mwingine: "ufalme wa mbinguni unafanana na mtu aliyepanda mbegu nzuri katika shamba lake.
ሌላ ምሳሌ አቀረበላቸው እንዲህም አለ። መንግሥተ ሰማያት በእርሻው መልካም ዘርን የዘራን ሰው ትመስላለች።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
mwenye shamba akatuma mtumishi mwingine tena, na huyo wakamuua. wengine wengi waliotumwa, baadhi yao walipigwa, na wengi wakauawa.
ሌላውንም ላከ፤ እርሱንም ገደሉት፥ ከሌሎችም ከብዙዎች አንዳንዱን ደበደቡ አንዳንዱንም ገደሉ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
akawaambia, "mavuno ni mengi, lakini wavunaji ni wachache. kwa hivyo, mwombeni mwenye shamba atume wavunaji shambani mwake.
አላቸውም። መከሩስ ብዙ ነው፥ ሠራተኞች ግን ጥቂቶች ናቸው፤ እንግዴህ የመከሩን ጌታ ለመከሩ ሠራተኞች እንዲልክ ለምኑት።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
kila mtu katika yerusalemu alisikia habari za tukio hilo na hivyo, kwa lugha yao, wakaliita lile shamba hekeli dama, maana yake, shamba la damu.)
በኢየሩሳሌምም ለሚኖሩ ሁሉ ታወቀ፤ ስለዚህም ያ መሬት በቋንቋቸው አኬልዳማ ተብሎ ተጠራ፥ እርሱም የደም መሬት ማለት ነው።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
"ninyi mnaonaje; mtu mmoja alikuwa na wana wawili. akamwambia yule wa kwanza, mwanangu, leo nenda ukafanye kazi katika shamba la mizabibu.
ነገር ግን ምን ይመስላችኋል? አንድ ሰው ሁለት ልጆች ነበሩት፤ ወደ አንደኛው ቀርቦ። ልጄ ሆይ፥ ዛሬ ሂድና በወይኔ አትክልት ሥራ አለው።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
mfano wa vile wanavyo vitoa katika uhai wao wa duniani ni kama upepo ambao ndani yake ipo baridi ya barafu , ukalisibu shamba la watu walio dhulumu nafsi zao , ukaliteketeza . na mwenyezi mungu hakuwadhulumu , bali wao wenyewe wanadhulumu nafsi zao .
የዚያ በዚህች በቅርቢቱ ሕይወት የሚለግሱት ነገር ምሳሌ በውስጧ ውርጭ ያለባት ነፋስ ነፍሶቻቸውን የበደሉን ሕዝቦች አዝመራ እንደነካችና እንዳጠፋችው ብጤ ነው ፡ ፡ አላህም አልበደላቸውም ግን ነፍሶቻቸውን ይበድላሉ ፡ ፡
Last Update: 2014-07-02
Usage Frequency: 1
Quality:
petro akamwambia, "niambie! je, kiasi hiki cha fedha ndicho mlichopata kwa kuuza lile shamba?" yeye akamjibu, "naam, ni kiasi hicho."
ጴጥሮስም መልሶ። እስቲ ንገሪኝ፥ መሬታችሁን ይህን ለሚያህል ሸጣችሁትን? አላት። እርስዋም። አዎን፥ ይህን ለሚያህል ነው አለች።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting