Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
-baraza la kijeshi limetishia kuvunja bunge kwa kukata rufaa katika mahakama kuu ya katiba.
- العسكري يهدد بحل البرلمان بطعن في درج رئيس المحكمة الدستورية العليا.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
tunaamini kukamatwa kwao ni kuvunja haki yao ya kimataifa ya uhuru wa kujieleza, pamoja na haki ya kutokukamatwa bila utaratibu.
لمعرفة المزيد عن قصتهم والحملة من أجل الإفراج عنهم انقر هنا. نخطط هذا الأربعاء، ابتداء من الساعة 14:00 بتوقيت غرب أفريقيا، بالتغريد لقادة المجتمع والحكومة والجهات الدبلوماسية الفاعلة، ووسائل الإعلام الرئيسية لزيادة الوعي وتوجيه انتباه الجمهور لهذه القضية.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
tena nikamwona malaika mwenye nguvu akitangaza kwa sauti kubwa: "nani anayestahili kuvunja hiyo mihuri na kukifungua kitabu hicho?"
ورأيت ملاكا قويا ينادي بصوت عظيم من هو مستحق ان يفتح السفر ويفك ختومه.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
akatengeneza mjeledi wa kamba, akawafukuza wote nje ya hekalu pamoja na kondoo na ng'ombe wao, akazimwaga sarafu za wenye kuvunja fedha na kupindua meza zao.
فصنع سوطا من حبال وطرد الجميع من الهيكل. الغنم والبقر وكب دراهم الصيارف وقلب موائدهم.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
watu waliokuwa wanapita mahali hapo walimtukana, wakitikisa vichwa vyao na kusema, "aha! wewe mwenye kuvunja hekalu na kulijenga kwa siku tatu!
وكان المجتازون يجدفون عليه وهم يهزون رؤوسهم قائلين آه يا ناقض الهيكل وبانيه في ثلاثة ايام.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
@abdulhadikhalaf: wizara ya mambo ya ndani iliyo katili inajaribu kuvunja mlango**** ndio maana kuna idadi kubwa ya majeruhi miongoni mwa waonevu?
@abdulhadikhalaf: بلطجية الداخلية تحاول كسر أحد الأبواب**** ألهذا السبب تكثر الإصابات بين البلطجية؟
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
hapo awali mwezi machi, wanaharakati wengine wawili mashuhuri wa haki za binadamu na waanzilishi wa acpra walikutwa na hatia na kuhukumiwa kifungo cha mpaka miaka 10 na 11 jela kwa "kuvunja kiapo cha utii kwa kiongozi na mrithi wake" na "kujaribu kuzorotesha maendeleo ya nchi".
في مارس / آذار السابق تم الحكم على ناشطين حقوقين بارزين وعضوين مؤسيين للجمعية السعودية للحقوق السياسية والمدنية (حسم) وقضت المحكمة بسجنهما ما بين ١٠ إلى ١١ سنة بتهمة عدم الإخلاص للحاكم وولي عهده و"عرقلة تقدم الدولة".
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting