Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
basi, kukatokea mafarakano juu yake katika ule umati wa watu.
فحدث انشقاق في الجمع لسببه.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
kukawa tena na mafarakano kati ya wayahudi kwa sababu ya maneno haya.
فحدث ايضا انشقاق بين اليهود بسبب هذا الكلام.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
mtu anayesababisha mafarakano mpe onyo la kwanza na la pili, kisha achana naye.
الرجل المبتدع بعد الانذار مرة ومرتين اعرض عنه
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
awali ya yote, nasikia kwamba mnapokutana pamoja hutokea mafarakano kati yenu. nami naamini kiasi,
لاني اولا حين تجتمعون في الكنيسة اسمع ان بينكم انشقاقات واصدق بعض التصديق.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
hao ndio watu wanaosababisha mafarakano, watu wanaotawaliwa na tamaa zao za kidunia, watu wasio na roho wa mungu.
هؤلاء هم المعتزلون بانفسهم نفسانيون لا روح لهم
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
maana nimekuja kuleta mafarakano kati ya mtu na baba yake, kati ya binti na mama yake, kati ya mkwe na mkwe wake.
فاني جئت لأفرّق الانسان ضد ابيه والابنة ضد امها والكنة ضد حماتها.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
kuabudu sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, choyo, mabishano, mafarakano;
عبادة الاوثان سحر عداوة خصام غيرة سخط تحزب شقاق بدعة
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
ndugu zangu, nawasihi muwafichue wote wanaosababisha mafarakano na kuwafanya watu wengine waanguke, kinyume cha mafundisho mliyofundishwa. jiepusheni na watu hao,
واطلب اليكم ايها الاخوة ان تلاحظوا الذين يصنعون الشقاقات والعثرات خلافا للتعليم الذي تعلمتموه واعرضوا عنهم.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
ndugu, ninawasihi kwa jina la bwana wetu yesu kristo: pataneni nyote katika kila jambo msemalo; yasiweko mafarakano kati yenu; muwe na fikira moja na nia moja.
ولكنني اطلب اليكم ايها الاخوة باسم ربنا يسوع المسيح ان تقولوا جميعكم قولا واحدا ولا يكون بينكم انشقاقات بل كونوا كاملين في فكر واحد ورأي واحد.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
baadhi ya mafarisayo wakasema, "mtu huyu hakutoka kwa mungu, maana hashiki sheria ya sabato." lakini wengine wakasema, "mtu mwenye dhambi awezaje kufanya ishara za namna hii?" kukawa na mafarakano kati yao.
فقال قوم من الفريسيين هذا الانسان ليس من الله لانه لا يحفظ السبت. آخرون قالوا كيف يقدر انسان خاطئ ان يعمل مثل هذه الآيات. وكان بينهم انشقاق.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting