From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
maana mimi ni mdogo kabisa miongoni mwa mitume na wala sistahili kuitwa mtume, kwa sababu nililidhulumu kanisa la mungu.
da, ja sam najmanji meðu apostolima i nisam dostojan zvati se apostolom jer sam progonio crkvu boju.
waliteua wazee katika kila kanisa kwa ajili ya waumini, na baada ya kusali na kufunga, wakawaweka chini ya ulinzi wa bwana ambaye walikuwa wanamwamini.
postavljali su im po crkvama starjeine te ih, nakon molitve i posta, povjeravahu gospodinu u kojega su povjerovali.
jihadharini wenyewe; lilindeni lile kundi ambalo roho mtakatifu amewaweka ninyi muwe walezi wake. lichungeni kanisa la mungu ambalo amejipatia kwa damu ya mwanae.
"pazite na sebe i na sve stado u kojem vas duh sveti postavi nadglednicima, da pasete crkvu boju koju steèe krvlju svojom."
wakati huohuo, saulo alijaribu kuliangamiza kanisa. alikwenda katika kila nyumba, akawatoa nje waumini, wanaume kwa wanawake, akawatia gerezani.
savao je pak pustoio crkvu: ulazio je u kuæe, odvlaèio mueve i ene i predavao ih u tamnicu.
na sasa nafurahi kuteseka kwa ajili yenu, maana kwa mateso yangu hapa duniani, nasaidia kukamilisha kile kilichopungua bado katika mateso ya kristo kwa ajili ya mwili wake, yaani kanisa.
radujem se sada dok trpim za vas i u svom tijelu dopunjam to nedostaje mukama kristovim za tijelo njegovo, za crkvu.
"kwa malaika wa kanisa la smurna andika hivi: "huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye wa kwanza na wa mwisho, ambaye alikufa na akaishi tena.
i anðelu crkve u smirni napii: "ovo govori prvi i posljednji, onaj koji bijae mrtav i oivje:
mitume, wazee na kanisa lote waliamua kuwachagua watu fulani miongoni mwao na kuwatuma antiokia pamoja na paulo na barnaba. basi, wakamchagua yuda aitwaye pia barsaba, na sila ambao wote walikuwa wanajulikana zaidi kati ya ndugu.
tad apostoli i starjeine zajedno sa svom crkvom zakljuèe izabrati neke mueve izmeðu sebe i poslati ih u antiohiju s pavlom i barnabom. bijahu to juda zvani barsaba, i sila, muevi vodeæi meðu braæom.
alipompata, alimleta antiokia. nao wote wawili walikaa na lile kanisa kwa mwaka wote mzima wakifundisha kundi kubwa la watu. huko antiokia, ndiko, kwa mara ya kwanza, wafuasi waliitwa wakristo.
kad ga naðe, odvede ga u antiohiju. punu su se godinu dana sastajali u toj crkvi i pouèavali poveæe mnotvo te se u antiohiji uèenici najprije prozvae kræanima.
basi, nitakapokuja nitayafichua mambo yote anayofanya, maneno mabaya anayotutolea na uongo anaosema juu yetu. isitoshe, yeye hukataa kuwakaribisha hao ndugu walio safarini, na hata huwazuia watu wengine wanaotaka kuwakaribisha, na hujaribu kuwafukuzia nje ya kanisa.
zato ako doðem, spoèitnut æu mu djela koja èini naklapajuæi zlobne rijeèi o nama. ni to mu nije dosta, nego ne prima braæe, a onima koji bi to htjeli, brani i izgoni ih iz crkve.