From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
agizo la bomu
bmu mandate
Last Update: 2024-09-26
Usage Frequency: 1
Quality:
agizo mbaya (exec) kuzindua
bad command (exec) to launch
Last Update: 2024-04-13
Usage Frequency: 3
Quality:
akasema: je, mmekiri na mmekubali kushika agizo langu juu ya hayo?
[allah] said, "have you acknowledged and taken upon that my commitment?"
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
basi, wakashika agizo hilo, lakini wakawa wanajadiliana wao kwa wao maana ya kufufuka kutoka wafu.
and they kept that saying with themselves, questioning one with another what the rising from the dead should mean.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
anayepinga mamlaka ya viongozi anapinga agizo la mungu; nao wafanyao hivyo wanajiletea hukumu wenyewe,
whosoever therefore resisteth the power, resisteth the ordinance of god: and they that resist shall receive to themselves damnation.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
gavana wa ohio, mike dewine alitangaza kuwa jimbo hilo liliongeza muda wa agizo la watu kukaa nyumbani hadi tarehe 1 mei.
the governor of ohio, mike dewine, announced the state had extended its stay-at-home order until may 1.
Last Update: 2020-08-25
Usage Frequency: 1
Quality:
mahakama ya jinai ya kimataifa imetoa agizo la kumkamata omer el-bashir kwa tuhuma za makosa katika vita.
the international criminal court issued an arrest warrant for omer el-bashir on charges of war crimes.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
akasema: je, mmekiri na mmekubali kushika agizo langu juu ya hayo? wakasema: tumekubali.
he said: assent ye, and take ye my burthen thereunto they said: we assent.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
agizo lilitiwa sahihi na wizara ya elimu kama hatua ya kuzuia lililenga kuzuia kuenea kwa magonjwa ya pumu kuhusiana na janga kubwa la virusi vya korona la who.
an order signed by the ministry of education as a preventative measure aims to prevent the spread of respiratory diseases in connection with the who coronavirus pandemic.
Last Update: 2020-08-25
Usage Frequency: 1
Quality:
hata hivyo, jukwaa la kublogu amarblog ilitoa tamko mnamo tarehe 22, machi 2013 linalosema kuwa haitahatarisha haki za siri za wanablogu kufuatia agizo la serikali.
however, blogging platform amarblog published a statement on march 22, 2013 saying that it won't jeopardize bloggers' privacy at the request of the government.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
lópez, kiongozi wa chama cha voluntad popular, alitakiwa kujisalimisha kwa agizo la mahakama jijini caracas kwa kutuhumiwa kuhusika na makosa ya jinai yanayohusiana na maandamano yanayoendelea nchini venezuela.
lópez, the leader of the voluntad popular party, had an arrest warrant that was issued against him by a court in caracas for allegedly being responsible for crimes related to the protests taking place in venezuela.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
icc peke yake haiwezi kufanya lolote kutekeleza agizo hilo la kukamatwa (kama italitoa) na umoja wa mataifa ni chui asiye na meno, lakini…
the icc can’t do much on its own in terms of enforcing the arrest warrant (if it issues it at all) and the un is a fangless paper tiger, but…
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
agizo la kukamatwa linayotolewa na icc katika mazingira mapya litakuwa na uzito, hivyo kutolewa kwake kutakuwa na manufaa kama zana ya kumshinikiza omar al-bashir kutengeneza mazingira yatakayoleta amani katika darfur na kutekeleza mkataba wa amani sudani ya kusini, cpa.
an icc arrest warrant issued within this new context will now have more weight, and hence its potential issuance will probably be more useful as a tool for pressuring omar al-bashir to act in favor of peace in darfur and implementing the cpa.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
mnamo 22 machi, chombo cha habari ya associated press iliripoti: "watu wengi ambao wana dalili na agizo la daktari wamesubiri kwa masaa au siku nyingi kupimwa."baada ya kifo cha kwanza marekani iliripotiwa katika jimbo la washington mnamo 29 februari, gavana jay inslee alitangaza hali ya dharura, kitendo kilichofuatwa na majimbo mengine.
on 22 march, the associated press reported: "many people who have symptoms and a doctor's order have waited hours or days for a test."after the first death in the united states was reported in washington state on 29 february, governor jay inslee declared a state of emergency, an action that was soon followed by other states.
Last Update: 2020-08-25
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting