From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
rais dilma roussef ameitisha mkutano wa dharura na mawaziri siku ya leo, ijumaa juni 21 ili kutathmini madhara ya maandamano hayo na jinsi serikali itakavyofanya majukumu yake kuanzia sasa na wakati ujao.
the president dilma roussef has called an emergency meeting with the ministers for today, friday, june 21, to evaluate the protests’ effects and how the national government shall operate from now on.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
mwanablogu elizabeth shelby, mfanyakazi mkristu ambaye aliwahi kufanya kazi kwa kujitolea katika makazi hayo ya yatima huko siku za nyuma, ameitisha maombi kutoka kwenye jamii yake, lakini pia anatumaini kupata maelezo kutoka kwa serikali juu ya kwa nini kuetokea mabadiliko ya ghafla katika mioyo yao.
blogger elizabeth shelby, a christian worker who volunteered at the orphanage in the past, is calling for prayer from her community, but also is hoping to find explanation from the government as to why the sudden change of heart occurred.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality: