From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
baada ya barnaba na saulo kutekeleza shughuli zao, walitoka tena yerusalemu wakamchukua yohane aitwaye pia marko.
and barnabas and saul returned from jerusalem, when they had fulfilled their ministry, and took with them john, whose surname was mark.
hata ndugu wengine wayahudi walimuunga mkono petro katika kitendo hiki cha unafiki, naye barnaba akakumbwa na huo unafiki wao.
and the other jews dissembled likewise with him; insomuch that barnabas also was carried away with their dissimulation.
paulo na barnaba walibaki huko antiokia kwa muda; wakafundisha na kuhubiri neno la bwana, pamoja na watu wengine wengi.
paul also and barnabas continued in antioch, teaching and preaching the word of the lord, with many others also.
basi, barnaba na saulo walipokwisha tumwa na roho mtakatifu, walishuka hadi seleukia, na kutoka huko walipanda meli hadi kisiwa cha kupro.
so they, being sent forth by the holy ghost, departed unto seleucia; and from thence they sailed to cyprus.
kule ikonio, mambo yalikuwa kama yalivyokuwa kule antiokia; paulo na barnaba walikwenda katika sunagogi la wayahudi wakaongea kwa uhodari hata wayahudi wengi na wagiriki wakawa waumini.
and it came to pass in iconium, that they went both together into the synagogue of the jews, and so spake, that a great multitude both of the jews and also of the greeks believed.
baada ya siku kadhaa, paulo alimwambia barnaba, "turudi tukawatembelee wale ndugu katika kila mji tulikolihubiri neno la bwana tukajionee jinsi wanavyoendelea."
and some days after paul said unto barnabas, let us go again and visit our brethren in every city where we have preached the word of the lord, and see how they do.
mitume, wazee na kanisa lote waliamua kuwachagua watu fulani miongoni mwao na kuwatuma antiokia pamoja na paulo na barnaba. basi, wakamchagua yuda aitwaye pia barsaba, na sila ambao wote walikuwa wanajulikana zaidi kati ya ndugu.
then pleased it the apostles and elders, with the whole church, to send chosen men of their own company to antioch with paul and barnabas; namely, judas surnamed barsabas, and silas, chief men among the brethren:
kulikuwa na mlawi mmoja, mzaliwa wa kupro, jina lake yosefu, ambaye mitume walimwita jina barnaba (maana yake, "mtu mwenye kutia moyo").
and joses, who by the apostles was surnamed barnabas, (which is, being interpreted, the son of consolation,) a levite, and of the country of cyprus,