From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
furahini
rejoice
Last Update: 2014-09-25
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
basi furahini kwa biashara yenu mliyo fanya naye.
let this bargain be glad news for them.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
basi furahini kwa biashara yenu mliyo fanya naye. na huko ndiko kufuzu kukubwa,
and that it is the mighty achievement.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
ila furahini kwamba mnashiriki mateso ya kristo ili mweze kuwa na furaha tele wakati utukufu wake utakapofunuliwa.
but rejoice, inasmuch as ye are partakers of christ's sufferings; that, when his glory shall be revealed, ye may be glad also with exceeding joy.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
hata hivyo, msifurahi kwa sababu pepo wamewatii, bali furahini kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni."
notwithstanding in this rejoice not, that the spirits are subject unto you; but rather rejoice, because your names are written in heaven.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
Warning: Contains invisible HTML formatting
akiipata, atawaita rafiki na jirani zake akisema, furahini pamoja nami, kwa sababu nimeipata ile sarafu yangu iliyopotea.
and when she hath found it, she calleth her friends and her neighbours together, saying, rejoice with me; for i have found the piece which i had lost.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
wakati hayo yatakapotokea, furahini na kucheza, maana hakika tuzo lenu ni kubwa mbinguni. kwa maana wazee wao waliwatendea manabii vivyo hivyo.
rejoice ye in that day, and leap for joy: for, behold, your reward is great in heaven: for in the like manner did their fathers unto the prophets.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
furahi ee mbingu, kwa sababu ya uharibifu wake. furahini watu wa mungu, mitume na manabii! kwa maana mungu ameuhukumu kwa sababu ya mambo uliyowatenda ninyi!
rejoice over her, thou heaven, and ye holy apostles and prophets; for god hath avenged you on her.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
hakika walio sema: mola wetu mlezi ni mwenyezi mungu! kisha wakanyooka sawa, hao huwateremkia malaika wakawaambia: msiogope, wala msihuzunike; nanyi furahini kwa pepo mliyo kuwa mkiahidiwa.
(as for) those who say: our lord is allah, then continue in the right way, the angels descend upon them, saying: fear not, nor be grieved, and receive good news of the garden which you were promised.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference: