From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
india: marufuku kutuma ujumbe wa simu za mkononi wa jumla
india: banning non p2p sms · global voices
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
makapuni ya simu yameanza kutuma ujumbe wa kuelimisha wateja wao kuhusu ebola.
mobile phone companies have started sending ebola related messages to subscribers.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
mwakilishi wa haki miliki huru donatella della ratta pia alihudhuria na kutuma ujumbe wa twita:
creative commons rep donatella della ratta also attended, tweeting:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
kuna mtu amependekeza tutumie alama ya #wikiarab ili kutuma ujumbe wa twita kuhusu mvujo mpya zaidi wa wikileaks
someone suggested that we use the hashtag #wikiarab to tweet about the latest wikileaks leak
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
kutuma ujumbe wa pongezi kunaweza kuwa ni fursa muhimu kisiasa, kiuchumi na kihistoria, leo hii na hata baada ya kubadilishwa serikali ya marekani.
sending message for congratulation can be the most important political, economical and historical opportunity, today and after changing american government.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
saudi arabia imezuia huduma ya kutuma ujumbe wa moja kwa moja tangu tarehe 5 juni, 2013, baada ya kutishia kuzuia zana za kimawasiliano, ikiwa isingeruhusiwa kuwapeleleza watumiaji wa huduma hiyo.
saudi arabia blocked the instant messaging application on june 5, 2013, after it threatened to block encrypted communication software, unless it was allowed to spy on users.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
ninadhani itafaa pia, kama wanaweza kutuma ujumbe wa sauti kwa wateja wao katika lugha tofauti zilizopo nchini, kuhusiana na hatua za kukabiliana na ebola, kwa sababu nina wasiwasi watu wengi hawatakuwa na muda wa kusoma ujumbe wanaotumiwa.
i think it will be great too, if they can send voice mails in the different languages we have, to their respective customers with regards to ebola preventive measures, because i doubt everyone will be able to read the text messages
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
waombolezaji walipiga picha na kutuma ujumbe wa moja moja kupitia mtandao wa twita wakati watu wakiomboleza, ambapo kulikuwa na matukio ya wengine kuzimia na wengine wakidai kuruhusiwa kulibeba jeneza la mwigizaji huyo nguli aliyetokea kupendwa kuelekea makaburini.
some mourners took photos and tweeted live as people grieved, fainted and demanded to carry the coffin of the much-loved iconic actor to the cemetery.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
wakati wa mapinduzi hayo wagombea wakuu walikuwa wakisoma akaunti zao za twita na google+ pamoja na kurasa zao za facebook, raia kwa upande mwingine walikuwa wakihuisha blogu zao pamoja kutuma ujumbe wa twita.
at the time of the coup the principal candidates were readying their twitter and google+ accounts along with their facebook pages, while citizens were updating their blogs and honing their tweets.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
doc gurley anawakumbusha wasomaji wake kwamba hata nchini haiti video inaweza kuwa zana yenye ufanisi mkubwa katika kueneza habari: "huko watu wanazo simu za mkononi zenye uwezo wa kutuma ujumbe wa maandishi, na kila mmoja ana anwani ya barua pepe.
doc gurley reminds her readers that even in haiti, video can be an effective tool for spreading information: "people there have cell phones and texts, and everyone has an email address.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
ubadilishwaji halali wa vifurushi tanzania mwaka 2022 bila kuwataarifu wateja kulikuwa na mtumiaji wa mtandao wa zantel ambaye alinunua kifurushi cha shiling 2000 ambacho alikuwa anategemea kupata 1gb ,dakika 20 mitandao yote na dakika 20 zantel kwenda zantel pamoja na sms 20 ambapo alinunua kulingana na maelekezo yaliyokuwa yametolewa kwenye menu lakini baada ya kukamilisha ununuzi alipokea ujumbe wa sms kutoka katika mtandao huo wenye maelezo tofauti na ofa iliyokuwa imetolewa kwenye menu h
valid replacement of tanzania packages in 2022 without notifying customers there was a zantel network user who purchased the shiling 2000 package which was based on getting 1gb , 20 minutes all networks and 20 minutes zantel to zantel along with 20 smss where he purchased according to the instructions provided on the menu but upon completion of the purchase received an sms message from that network with different details and the offer provided on the menu hio ili mtaarifu kuwa amepokea mb 800,dakika 55, na sms 20 kwa wiki mitando yote baada ya hapo mteja aliamua kumpigia mtoa huduma na kumuomba achague vitu viwili kurudisha pesa au kuongeza mb 200,mtoa huduma alikubali kuwa kunachangamoto hio lakin hakukubali kuongeza mb wala kusitisha muamala
Last Update: 2022-11-18
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
watu wamekuwa wakitumia njia zinazofanana na hili tunalolisema tangu siku za nyuma, kwa mfano watu wanaotumia simu za kisasa (smartphone) wanaweza kutumiana ujumbe wa "niko salama", lakini inabidi hilo liwezekane hata kwa simu za kawaida sana.
people have been doing some stuff in this space in the past, the best like “i’m ok” are focused on smartphone users, but we have a need to make it work for even the simplest phones.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
Warning: Contains invisible HTML formatting
kiuhalisia, katika mazingira haya, mahitaji yote muhimu kwa ukuaji wa watoto yameharibiwa, , and the psychological damages of armed conflicts are incalculable.... waototo hawa, wanaoshindwa kukua katika mazingira mazuri na badala yake wanakabiliana na matukio ya ukatili wakiwa na umri mdogo kabisa, mara nyingi wanajijengeaa dhana ya kwamba vurugu ni njia kama zilivyonjia njia nyingine za kutatua migogoro, na kwa hiyo inakuwa vigumu sana kwao kutuma ujumbe wa amani na ulinzi wa kimataifa kwa vizazi vijavyo.
in such conditions, practically all the necessary constants for child development are seriously disrupted, and the psychological damages of armed conflicts are incalculable.... these children, unable to grow up in an atmosphere of trust and having had to face atrocities from a very young age, often develop the conviction that violence is a way like any other to solve disputes, and so it is difficult for them to send a message of peace and international security to future generations.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference: