From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
mwana wa yakobo, mwana wa isaka, mwana wa abrahamu, mwana wa tera, mwana wa nahori,
which was the son of jacob, which was the son of isaac, which was the son of abraham, which was the son of thara, which was the son of nachor,
mimi ni mungu wa baba zako, mungu wa abrahamu, isaka na yakobo! mose akatetemeka kwa hofu na wala hakuthubutu kutazama zaidi.
saying, i am the god of thy fathers, the god of abrham, and the god of isaac, and the god of jacob. then moses trembled, and durst not behold.
kwa imani aliishi kama mgeni katika nchi aliyoahidiwa na mungu. aliishi huko katika hema kama walivyoishi isaka na yakobo, ambao pia walishiriki ahadi ileile.
by faith he sojourned in the land of promise, as in a strange country, dwelling in tabernacles with isaac and jacob, the heirs with him of the same promise:
basi, nawaambieni kwamba watu wengi watakuja kutoka mashariki na magharibi, nao wataketi karamuni pamoja na abrahamu, isaka na yakobo katika ufalme wa mbinguni.
and i say unto you, that many shall come from the east and west, and shall sit down with abraham, and isaac, and jacob, in the kingdom of heaven.
aliwaambia, mimi ni mungu wa abrahamu, isaka na yakobo! basi, yeye si mungu wa wafu, bali ni mungu wa walio hai."
i am the god of abraham, and the god of isaac, and the god of jacob? god is not the god of the dead, but of the living.
ndipo mtakuwa na kulia na kusaga meno, wakati mtakapowaona abrahamu, isaka na yakobo, na manabii wote wapo katika ufalme wa mungu, lakini ninyi wenyewe mmetupwa nje!
there shall be weeping and gnashing of teeth, when ye shall see abraham, and isaac, and jacob, and all the prophets, in the kingdom of god, and you yourselves thrust out.
kwa imani, abrahamu alimtoa mwanae isaka sadaka wakati mungu alipomjaribu. huyo abrahamu ndiye aliyekuwa amepokea ahadi ya mungu, lakini, hata hivyo, alikubali kumtoa dhabihu mwanae wa pekee,
by faith abraham, when he was tried, offered up isaac: and he that had received the promises offered up his only begotten son,
lakini, kwamba kuna kufufuka kutoka wafu, hata mose alithibitisha jambo hilo katika maandiko matakatifu. katika sehemu ya maandiko matakatifu juu ya kile kichaka kilichokuwa kinawaka moto, anamtaja bwana kama mungu wa abrahamu, isaka na yakobo.
now that the dead are raised, even moses shewed at the bush, when he calleth the lord the god of abraham, and the god of isaac, and the god of jacob.
halafu mungu aliifanya tohara iwe ishara ya agano. hivyo, abrahamu alimtahiri mtoto wake isaka, siku ya nane baada ya kuzaliwa. na isaka, vivyo hivyo, alimtahiri yakobo. naye yakobo aliwatendea wale mababu kumi na wawili vivyo hivyo.
and he gave him the covenant of circumcision: and so abraham begat isaac, and circumcised him the eighth day; and isaac begat jacob; and jacob begat the twelve patriarchs.