Results for kukawia translation from Swahili to English

Computer translation

Trying to learn how to translate from the human translation examples.

Swahili

English

Info

Swahili

kukawia

English

 

From: Machine Translation
Suggest a better translation
Quality:

Human contributions

From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.

Add a translation

Swahili

English

Info

Swahili

wakati huo, wale watu walikuwa wanamngoja zakariya huku wakishangaa juu ya kukawia kwake hekaluni.

English

and the people waited for zacharias, and marvelled that he tarried so long in the temple.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

sasa basi, ya nini kukawia zaidi? simama ubatizwe na uondolewe dhambi zako kwa kuliungama jina lake.

English

and now why tarriest thou? arise, and be baptized, and wash away thy sins, calling on the name of the lord.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

mara baada ya paulo kuona ono hilo, tulijitayarisha kwenda makedonia bila kukawia, tukiwa na hakika kwamba mungu ametuita tuwapelekee habari njema.

English

and after he had seen the vision, immediately we endeavored to go into macedonia, assuredly gathering that the lord had called us for to preach the gospel unto them.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

lakini mwenye kufanya haraka katika siku mbili (akarejea) si dhambi juu yake; na mwenye kukawia pia si dhambi juu yake, kwa mwenye kumchamngu.

English

but if any one hastens to leave in two days, there is no blame on him, and if any one stays on, there is no blame on him, if his aim is to do right.

Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

lakini mwenye kufanya haraka katika siku mbili (akarejea) si dhambi juu yake; na mwenye kukawia pia si dhambi juu yake, kwa mwenye kumchamngu. na mcheni mwenyezi mungu, na jueni kwamba nyinyi mtakusanywa kwake.

English

and laud allah during the numbered days; then whoever hastens off in two days, there is no blame on him, and whoever remains behind, there is no blame on him, (this is) for him who guards (against evil), and be careful (of your duty) to allah, and know that you shall be gathered together to him.

Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:

Get a better translation with
7,749,152,691 human contributions

Users are now asking for help:



We use cookies to enhance your experience. By continuing to visit this site you agree to our use of cookies. Learn more. OK