Results for mbatizaji translation from Swahili to English

Computer translation

Trying to learn how to translate from the human translation examples.

Swahili

English

Info

Swahili

mbatizaji

English

 

From: Machine Translation
Suggest a better translation
Quality:

Human contributions

From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.

Add a translation

Swahili

English

Info

Swahili

hapo hao wanafunzi wakafahamu kwamba alikuwa akiwaambia juu ya yohane mbatizaji.

English

then the disciples understood that he spake unto them of john the baptist.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

siku hizo yohane mbatizaji alitokea, akaanza kuhubiri katika jangwa la yudea:

English

in those days came john the baptist, preaching in the wilderness of judaea,

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

yohane mbatizaji alitokea jangwani, akahubiri kwamba ni lazima watu watubu na kubatizwa ili mungu awasamehe dhambi zao.

English

john did baptize in the wilderness, and preach the baptism of repentance for the remission of sins.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

naye, huku akichochewa na mama yake, akaomba, "nipe papahapa katika sinia kichwa cha yohane mbatizaji."

English

and she, being before instructed of her mother, said, give me here john baptist's head in a charger.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

wakamjibu, "wengine wanasema kuwa ni yohane mbatizaji, wengine eliya, wengine yeremia au mmojawapo wa manabii."

English

and they said, some say that thou art john the baptist: some, elias; and others, jeremias, or one of the prophets.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

kisha wanafunzi wa yohane mbatizaji walimwendea yesu, wakamwuliza, "sisi na mafarisayo hufunga mara nyingi; mbona wanafunzi wako hawafungi?"

English

then came to him the disciples of john, saying, why do we and the pharisees fast oft, but thy disciples fast not?

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

hapo huyo msichana akatoka, akamwuliza mama yake, "niombe nini?" naye akamjibu, "kichwa cha yohane mbatizaji."

English

and she went forth, and said unto her mother, what shall i ask? and she said, the head of john the baptist.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

wakamjibu, "wengine wanasema wewe ni yohane mbatizaji, wengine eliya na ;olp;;klkl jv hbvb wengine mmojawapo wa manabii."

English

and they answered, john the baptist: but some say, elias; and others, one of the prophets.

Last Update: 2014-03-29
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

basi, akawaambia watumishi wake, "mtu huyu ni yohane mbatizaji, amefufuka kutoka wafu; ndiyo maana nguvu za miujiza zinafanya kazi ndani yake."

English

and said unto his servants, this is john the baptist; he is risen from the dead; and therefore mighty works do shew forth themselves in him.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

watu wengine wakamwambia yesu, "wafuasi wa yohane mbatizaji hufunga mara nyingi na kusali; hata wafuasi wa mafarisayo hufanya vivyo hivyo. lakini wafuasi wako hula na kunywa."

English

and they said unto him, why do the disciples of john fast often, and make prayers, and likewise the disciples of the pharisees; but thine eat and drink?

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Get a better translation with
7,728,925,716 human contributions

Users are now asking for help:



We use cookies to enhance your experience. By continuing to visit this site you agree to our use of cookies. Learn more. OK