Обучается переводу с помощью примеров, переведенных людьми.
Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
hapo hao wanafunzi wakafahamu kwamba alikuwa akiwaambia juu ya yohane mbatizaji.
then the disciples understood that he spake unto them of john the baptist.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
siku hizo yohane mbatizaji alitokea, akaanza kuhubiri katika jangwa la yudea:
in those days came john the baptist, preaching in the wilderness of judaea,
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
yohane mbatizaji alitokea jangwani, akahubiri kwamba ni lazima watu watubu na kubatizwa ili mungu awasamehe dhambi zao.
john did baptize in the wilderness, and preach the baptism of repentance for the remission of sins.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
naye, huku akichochewa na mama yake, akaomba, "nipe papahapa katika sinia kichwa cha yohane mbatizaji."
and she, being before instructed of her mother, said, give me here john baptist's head in a charger.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
wakamjibu, "wengine wanasema kuwa ni yohane mbatizaji, wengine eliya, wengine yeremia au mmojawapo wa manabii."
and they said, some say that thou art john the baptist: some, elias; and others, jeremias, or one of the prophets.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
kisha wanafunzi wa yohane mbatizaji walimwendea yesu, wakamwuliza, "sisi na mafarisayo hufunga mara nyingi; mbona wanafunzi wako hawafungi?"
then came to him the disciples of john, saying, why do we and the pharisees fast oft, but thy disciples fast not?
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
hapo huyo msichana akatoka, akamwuliza mama yake, "niombe nini?" naye akamjibu, "kichwa cha yohane mbatizaji."
and she went forth, and said unto her mother, what shall i ask? and she said, the head of john the baptist.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
wakamjibu, "wengine wanasema wewe ni yohane mbatizaji, wengine eliya na ;olp;;klkl jv hbvb wengine mmojawapo wa manabii."
and they answered, john the baptist: but some say, elias; and others, one of the prophets.
Последнее обновление: 2014-03-29
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
basi, akawaambia watumishi wake, "mtu huyu ni yohane mbatizaji, amefufuka kutoka wafu; ndiyo maana nguvu za miujiza zinafanya kazi ndani yake."
and said unto his servants, this is john the baptist; he is risen from the dead; and therefore mighty works do shew forth themselves in him.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
watu wengine wakamwambia yesu, "wafuasi wa yohane mbatizaji hufunga mara nyingi na kusali; hata wafuasi wa mafarisayo hufanya vivyo hivyo. lakini wafuasi wako hula na kunywa."
and they said unto him, why do the disciples of john fast often, and make prayers, and likewise the disciples of the pharisees; but thine eat and drink?
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование