From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
ingechukua miaka mingine 2 na mashinikizo mengi ya kisiasa kumfanya mbeki kujiandaa kumshtaki rasmi afisa wake wa polisi wa ngazi ya juu.
it would ultimately take a further 2 years and a lot of political fallout before mbeki was prepared to formally charge his top cop.
bila shaka ataapishwa mara moja baada ya kujiuzulu kwa rais thabo mbeki na kuanza majukumu yake rasmi tarehe 25 septemba.”
he will probably be sworn in immediately after the resignation of president mbeki takes effect on the 25th of september.”
mama wa rais thabo mbeki anayeondoka madarakani, epainette, anaunga mkono mipango ya kukigawa chama cha anc na kuanzisha chama kipya cha siasa.
outgoing president thabo mbeki’s mother, epainette, is backing moves to split the african national congress (anc) and form a new breakaway political party.
hatua hiyo inafuatia tamko la jaji nicholson hivi karibuni katika mahakama kuu ya pietermaritzburg kwamba huenda mbeki na waziri wa sheria waliingilia kati katika uamuzi wa kumfikisha mahakamani jacob zuma.
the move follows nicholson’s statement in the recent pietermaritzburg high court ruling, that mbeki and the former justice minister may have interfered in the decision to prosecute jacob zuma.
anc ilikuwa imetangaza kwamba makamu wa rais wa chama hicho kgalema motlanthe alikuwa ameteuliwa na chama kushika nafasi ya rais katika kipindi cha mpito mara baada ya kuondoka rais thabo mbeki mnamo siku ya alhamis.
the anc has confirmed that its deputy president kgalema motlanthe has been chosen as the party’s preferred candidate to serve as the country’s interim president after thabo mbeki leaves office on thursday.
mmoja wao akiwa ni waziri wa afya, dkt manto tshabalala-msimang, aliyekuwa mwananadharia mkubwa katika hoja ya mbeki ya sera za kukana uwepo wa ukimwi.
chief among these is health minister dr manto tshabalala-msimang, the chief theoretician behind mbeki’s aids denialist policies.
barua zao za kujiuzulu zilipokelewa na rais thabo mbeki "ambapo kwa masikitiko makubwa, ilimpasa kuzipokea", ilisema taarifa kutoka ofisi ya rais jumanne iliyopita.
their letters of resignation had been received by president thabo mbeki "which, regretfully, he has had to accept", the presidency said in a statement on tuesday.
kwa nini mbeki alituomba tuwe na imani naye kwa suala la selebi na kwa kwa nini alishikilia msimamo – pamoja kuwepo kwa ushahidi mzito na wa wazi aliopewa – kwamba hapakuwa na ushahidi wa kuonesha kwamba selebi alikuwa mhalifu?
why did mbeki ask us to trust him on selebi and why did he maintain – in the face of overwhelming evidence provided to him – that there was no evidence to suggest that selebi was a crook?
@khadijapatel: rt @khayadlanga: kwa kuwa ni siku ya afrika, hapa kuna hotuba kuu ya thabo mbeki “mimi ni mwafrika”.
@khadijapatel: rt @khayadlanga: since it's africa day, here thabo mbeki's great "i am an african" speech.