Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
uzinzi ni dhambi na sio uhalifu.
fornication is a sin not a crime.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
mlipuko umetokea mathare na sio westgate
yoh explosion ni mathare sio westgate rt @nyamburamumbi: explosion at westgate.... how bad is it? — ramsy ama ramah (@ramjanja) september 21, 2013
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
kutoka kwenye blogu huwa tunapata maoni, na sio habari.
what we normally get from blogs are views, not news.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
katiba inayotokana na watu ni chaguo letu na sio chaguo la pf!
a people driven constitution is our choice and not that of pf!
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
ni walio sawa kiukweli, na sio waliosawa kinadharia ndio wanaoweza kuingia katika ubia.
only subststantive, not notional equals, can enter into partnerships.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
@reclvse aliandika kwamba hatua hii inahusiana na na uhai wa binadamu na sio tarakimu:
@reclvse wrote that it is about lives and not statistics:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
ni lazima mtengenezaji wa video, na sio mlalamikaji, kuthibitisha kwamba ana haki ya kuweka video hiyo.
it is incumbent on the video's creator, and not the complainant, to prove that he or she has the right to present the video.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
hii ndiyo sababu sera yetu ya lugha ya kufundishia inatakiwa kukuza matumizi ya lugha zaidi ya moja, na sio kutumia lugha moja tu.
this is why our language of instruction policy needs to promote multilingualism, and not monolingualism.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa msaada wako, tunaweza kufanya mtandao uwe na lugha nyingi kadri iwezekanavyo wenye kushamiri lugha tofauti tofauti, na sio kubagua baadhi ya lugha.
with your help, we can pave the way for a more multilingual internet where different languages are celebrated, not excluded.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
hata kama nimezidi katika kujivuna kwangu juu ya ule uwezo aliotupa--uwezo wa kuwajenga na sio wa kubomoa--hata hivyo sijutii hata kidogo.
for though i should boast somewhat more of our authority, which the lord hath given us for edification, and not for your destruction, i should not be ashamed:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
@baheyah: ni mpinduzi ya wamisri na sio ya kijeshi, wamisri walitaka kumtoa mosri kwa kutumia silaka zao za maangamizi = sauti yao
@baheyah: #egyptianrevolutionnotmilitarycoup egyptians went out to get rid of #morsi using their weapon of mass distraction = their voice
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
hata hivyo, umoja wa kupambana na watawala mafisadi (cacol) nchini naijeria umeitaka serikali ya shirikisho kufanyia kazi ujumbe huo na sio aliyeutoa ujumbe huo.
however, the coalition against corrupt leaders (cacol) in nigeria has asked the federal government to deal with the message and not the messenger.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
ni kweli, kitabu cha kidijitali ni faili tu na sio kitu, lakini je nikikiweka kitabu kwenye kompyuta yangu au kifaa kingine cha kukisomea badala ya kukiweka kwenye kabati, hiyo inakifanya kisiwe na hadhi ya kitabu?
it is true, an e-book is a file and not an object, but does it make a book less of a book if i keep it on my computer or my e-reader rather than on the book shelf?
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
@themacharia: nashindwa kuelewa, ni kampuni ngapi kati ya hizo huwalipa intani? je, ni ngapi wamewaajiri intani na sio tu kuwachagua?
@themacharia: i wonder how many of those on #payinterns have actually hired, not selected, but hired interns.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
@beltrew: #kesi za mashirika haya zilioongozwa na waziri wa enzi za utawala wa mubarak chini ya utawala #scaf, ni watu walikuwa wanashitakiwa na sio mashirika kwa kile kinachoitwa kutosajiliwa
@beltrew: #ngo trial was spear-headed by a mubarak-era minister under #scaf rule, individuals were on trial not organisations for being unregistered
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Some human translations with low relevance have been hidden.
Show low-relevance results.