Results for pipi translation from Swahili to English

Human contributions

From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.

Add a translation

Swahili

English

Info

Swahili

wewe tamu pipi

English

it's so sweet

Last Update: 2022-03-18
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous

Swahili

kisawe cha neno pipi

English

synonym for the word candy

Last Update: 2020-11-17
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous

Swahili

batang pipi at sinira

English

young dumb and broke

Last Update: 2022-04-27
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous

Swahili

asili na maana ya jina la pipi

English

asili na maana ya jina la candy

Last Update: 2021-09-17
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous

Swahili

sasa kwa ajili ya homa, unaweza kumumunya pipi aina ya tachipirina

English

now for the fever you can take a tachipirina sweet

Last Update: 2020-08-25
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous

Swahili

miongoni mwao kuna wale watakaokuwa wamebeba maua; wengine marundo ya vitabu, wengine magazeti na hata wapo wale wanaouza pipi.

English

some of these children carry flowers; some have a stack of books in the crook of their arms, some carry bundles of newspapers and some have candy for sale.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous

Swahili

aah vipi mizigo umesha weka tayari mh aah sijechelewa nikaja achwa na gari mh aah basi jikaze usilie mpenzi aah mi nitarudi niombee kwa mwenyezi aah zile taabu na njaa msimu mzima mavuno hakuna hua nakosa raha pale mkikosa cha kutafuna roho yangu inauma sema nitafanya nini na pesa sina nakuonea na huruma bora niende mjini kusaka tumaa kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea wadanganye na vibagia waambie pipi nitawaletea kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea na usichoke kuvumilia na kila siku kuniombea wewe unajua kwamba nafsi na roho vitakuwa na wasiwasi upweke na moyo utajawa na simanzi nitapo kuwa nakwenda shambani alafu niko peke yangu honey nitapo kuja kuwa na majirani nitaumia aah pale ninapotoka kisimani ama nipo na kuni kichwani sina wa kunitua nyumbani nitalia maneno yako yananifanya nakosa raha na mawazo hata mwenzako sijawahi kufika dar huu ndo mwanzo vile nakwenda na sijui pa kukaa wala mavazi ooh we niombee niepushwe na balaa na maradhi ooh eeh kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea wadanganye na vibagia waambie pipi nitawaletea kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea na usichoke kuvumilia na kila siku kuniombea unapokwenda kama ukifika salama utukumbuke na sisi usisahau kwaba mkeo na wana umetuacha na dhiki hilo usijali ila naomba chunga sana ogopa na marafiki wakikulagai hata kwa mbegu za mtama waambie sidanganyiki unapokwenda kama ukifika salama utukumbuke na sisi kumbuka mkeo nyumbani na wana umetuacha na dhiki hilo usijali ila naomba chunga sana ogopa na marafiki wakikulagai hata kwa mbegu za mtama waambie sidanganyiki eeeh eeeh oooh nitarejea mama niombee nirudi salama oooh watoto wadanganye iih uuh uuh aah tozalee zijaee hmm kamaaa… kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea (nitarejea mama) wadanganye (uuh wadanganyee) na vibagia waambie pipi nitawaletea kama watoto wakinililia (kamaa)waambie kesho nitarejea (nitarejea mama) na usichoke kuvumilia (usichoke) na kila siku kuniombea (nirudi salama)

English

query length limit excedeed. max allowed query : 500 chars

Last Update: 2017-12-19
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous

Get a better translation with
8,867,961,443 human contributions

Users are now asking for help:



We use cookies to enhance your experience. By continuing to visit this site you agree to our use of cookies. Learn more. OK