From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
maana ya neno sanda
the meaning of the word shroud
Last Update: 2021-02-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
yosefu akauchukua ule mwili akauzungushia sanda safi ya kitani,
and when joseph had taken the body, he wrapped it in a clean linen cloth,
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
alipoinama na kuchungulia ndani, aliona sanda, lakini hakuingia ndani.
and he stooping down, and looking in, saw the linen clothes lying; yet went he not in.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
simoni petro naye akaja akimfuata, akaingia kaburini; humo akaona sanda,
then cometh simon peter following him, and went into the sepulchre, and seeth the linen clothes lie,
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
basi, waliutwaa mwili wa yesu, wakaufunga sanda pamoja na manukato kufuatana na desturi ya wayahudi katika kuzika.
then took they the body of jesus, and wound it in linen clothes with the spices, as the manner of the jews is to bury.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
goche lamine, mfanyabiashara wa madawa, alikamatwa na mwanafunzi wa shule ya sekondari aitwaye sanda, mwenye umri wa miaka 17.
goche lamine, a medical merchant, was caught with a high school student named sanda, aged 17.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
kisha, akaushusha mwili huo kutoka msalabani, akauzungushia sanda ya kitani, akauweka katika kaburi lililokuwa limechongwa kwenye mwamba, ambalo halikuwa limetumika.
and he took it down, and wrapped it in linen, and laid it in a sepulchre that was hewn in stone, wherein never man before was laid.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
hapo yosefu akanunua sanda ya kitani, akauteremsha chini huo mwili, akauzungushia sanda. akauweka katika kaburi lililokuwa limechongwa mwambani, kisha akavingirisha jiwe kubwa mbele ya mlango.
and he bought fine linen, and took him down, and wrapped him in the linen, and laid him in a sepulchre which was hewn out of a rock, and rolled a stone unto the door of the sepulchre.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
huyo aliyekuwa amekufa akatoka nje, huku amefungwa sanda miguu na mikono, na uso wake umefunikwa. yesu akawaambia, "mfungueni, mkamwache aende zake."
and he that was dead came forth, bound hand and foot with graveclothes: and his face was bound about with a napkin. jesus saith unto them, loose him, and let him go.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
Warning: Contains invisible HTML formatting