Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
ukizingatia kwamba mradi huu unafikia ukingoni
considering that this project is reaching the brink
Last Update: 2022-04-10
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
na mlikuwa ukingoni mwa shimo la moto, naye akakuokoeni nalo.
and how he saved you from the pit of fire when you were on the brink of it.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
na katika watu wapo wanao muabudu mwenyezi mungu kwa ukingoni.
and among the people is he who worships god on edge.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
basi, baada ya kuzileta zile mashua ukingoni mwa ziwa, wakaacha yote, wakamfuata.
and when they had brought their ships to land, they forsook all, and followed him.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
raia wengi walifariki kwenye mashambulizi ya mabomu katika maeneo ya ukingoni mwa mji wa gaza.
many civilians died in the bombing of areas at the edges of gaza city.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
leo, mitandao ya kijamii nchini venezuela imekuwa ikitoa taswira ya nchi hiyo kuwa ukingoni mwa zoezi muhimu.
today, social networks in venezuela show a country at the fringe.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
na mlikuwa ukingoni mwa shimo la moto, naye akakuokoeni nalo. namna hivi mwenyezi mungu anakubainishieni ishara zake ili mpate kuongoka.
thus allah makes his ayat (proofs, evidences, verses, lessons, signs, revelations, etc.,) clear to you, that you may be guided.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
na katika watu wapo wanao muabudu mwenyezi mungu kwa ukingoni. ikimfikia kheri hutulia kwayo, na ukimfikia msukosuko hugeuza uso wake.
and among mankind is he who worshippeth allah upon a narrow marge so that if good befalleth him he is content therewith, but if a trial befalleth him, he falleth away utterly.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
lakini wale wanafunzi wengine walikuja pwani kwa mashua huku wanauvuta wavu uliojaa samaki; hawakuwa mbali na nchi kavu, ila walikuwa yapata mita mia moja kutoka ukingoni.
and the other disciples came in a little ship; (for they were not far from land, but as it were two hundred cubits,) dragging the net with fishes.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
video ambayo serikali ya colombia haitaki tuone yaonyesha fujo inayotumiwa dhidi ya jamii mbili zilizoko ukingoni wa mto, ambazo zimetumia njia za amani kupinga kujengwa kwa bwawa hilo. video hiyo pia inakusanya maoni na ushuhuda ya waliokumbana na vurugu hizo, pamoja na waliojeruhiwa.
the video the colombian government doesn't want us to see shows the violent eviction faced by two river bank communities standing up peacefully against the building of the dam, and pulls together the testimonies of those who faced the violence and were injured.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
(g12-18) na likajisimamia ukingoni mwa bahari. (g13-1) kisha nikaona mnyama mmoja akitoka baharini. alikuwa na vichwa saba na pembe kumi, na kila pembe ilikuwa na taji. jina la kashfa lilikuwa limeandikwa juu ya vichwa hivyo.
and i stood upon the sand of the sea, and saw a beast rise up out of the sea, having seven heads and ten horns, and upon his horns ten crowns, and upon his heads the name of blasphemy.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference: