From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
jumapili, alfajiri na mapema, wale wanawake walikwenda kaburini wakichukua yale manukato waliyotayarisha.
now upon the first day of the week, very early in the morning, they came unto the sepulchre, bringing the spices which they had prepared, and certain others with them.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
watu walikuwa wakichukua leso na nguo nyingine za kazi ambazo paulo alikuwa amezitumia, wakazipeleka kwa wagonjwa, nao wakaponywa magonjwa yao; na wale waliokuwa na pepo wabaya wakatokwa na pepo hao.
so that from his body were brought unto the sick handkerchiefs or aprons, and the diseases departed from them, and the evil spirits went out of them.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
kwenye mtandao, filamu hiyo ilisababisha maoni yaliyopishana, huku baadhi ya watu wakichukua mtizamo kuwa filamu ina mtizamo wa kibaguzi dhidi ya wanaijeria, wakati wengine waliitetea kama wakilisho la kubuni lenye chembe ndogo ya ukweli.
online, the movie provoked varied reactions, with some taking the view that the film presents a racist view of nigerians, while others defended it as a fictional representation with little bearing on reality.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
tusiangalie intaneti kama tu njia kuu ya mawasiliano bali pia kama bidhaa, watu majumbani wanalipia kiwango kizuri cha pesa kila mwezi ili kuweza kutumia intaneti, na wanaridhia kufanya hivyo, kwa kuzingatia ukweli kwamba yanawekeza vikubwa kwenye mitandao na teknolojia ili kuweza kufikisha huduma zao majumbani na kwenye biashara mbalimbali nchini, je itakuwaje, katika mazingira haya, kama watu wataacha kulipia huduma za intaneti au wakichukua hatua nyingine kama vile kuchangia malipo, watoa huduma za kuunganisha intaneti watawezaje kutetea uwekezaji na juhudi zao za kuboresha huduma wakati serikali haisaidii lolote.
let’s not look at the internet as the super highway of information but look at it as a product, the people in their homes are paying a good amount of money and on a monthly bases just to access the internet and have a good time doing so, based on that fact are heavily investing in networks and technology to get that connection to every home and business in the country; what if people based on giving these circumstances stop subscribing to internet services or resorting to other options like subscription sharing, how can these isp’s justify their investment and effort to improve services when the government is not helping at all.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality: