From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
huu ndio ushahidi yohane alioutoa wakati viongozi wa wayahudi kule yerusalemu walipowatuma makuhani wa walawi kwake wamwulize: "wewe u nani?"
and this is the record of john, when the jews sent priests and levites from jerusalem to ask him, who art thou?
kutokana na ukuhani wa walawi, watu wa israeli walipewa sheria. sasa, kama huduma ya walawi ingalikuwa kamilifu hapangekuwa tena na haja ya kutokea ukuhani mwingine tofauti, ukuhani ambao umefuata utaratibu wa ukuhani wa melkisedeki, na si ule wa aroni.
if therefore perfection were by the levitical priesthood, (for under it the people received the law,) what further need was there that another priest should rise after the order of melchisedec, and not be called after the order of aaron?