From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
hao wazazi walipokwisha fanya yote yaliyoamriwa na sheria ya bwana, walirudi makwao nazareti, mkoani galilaya.
kaj kiam ili jam faris cxion, konforme al la legxo de la eternulo, ili revenis en galileon, al sia urbo nazaret.
kwa maana tulikwisha msikia akisema eti huyo yesu wa nazareti atapaharibu kabisa mahali hapa na kufutilia mbali desturi zile tulizopokea kutoka kwa mose."
cxar ni auxdis lin diri, ke cxi tiu jesuo, la nazaretano, detruos cxi tiun lokon, kaj sxangxos la kutimojn, kiujn moseo transdonis al ni.
aliondoka nazareti, akaenda kafarnaumu, mji ulio kando ya bahari ya genesareti, mpakani mwa wilaya za zabuloni na naftali, akakaa huko.
kaj lasinte nazareton, li venis al kaj logxis en kapernaum apudmara, en la limoj de zebulun kaj naftali;
akahamia katika mji uitwao nazareti. ndivyo yalivyotimia maneno yaliyonenwa kwa njia ya manabii: "ataitwa mnazare."
kaj venis al kaj logxis en urbo nomata nazaret, por ke plenumigxu tio, kio estis dirita per la profetoj, ke li estos nomata nazaretano.
lakini huyo kijana akawaambia, "msishangae. mnamtafuta yesu wa nazareti aliyesulubiwa. amefufuka, hayumo hapa. tazameni mahali walipokuwa wamemlaza.
sed li diris al ili:ne miregu; vi sercxas jesuon, la nazaretanon, la krucumitan:li levigxis; li ne estas cxi tie; jen la loko, kien oni metis lin!
naye nathanieli akamwuliza filipo, "je, kitu chema chaweza kutoka nazareti?" filipo akamwambia, "njoo uone."
kaj natanael diris al li:cxu io bona povas esti el nazaret? filipo diris al li:venu kaj vidu.
basi, yesu alikwenda nazareti, mahali alipolelewa, na siku ya sabato, aliingia katika sunagogi, kama ilivyokuwa desturi yake. akasimama ili asome maandiko matakatifu kwa sauti.
kaj li venis al nazaret, kie li estis edukita; kaj laux sia kutimo li eniris en la sinagogon en la sabata tago, kaj starigxis, por legi.
basi, ninyi na watu wote wa israeli mnapaswa kujua kwamba mtu huyu anasimama mbele yenu leo, mzima kabisa, kwa nguvu ya jina lake yesu wa nazareti ambaye ninyi mlimsulubisha, lakini mungu akamfufua kutoka wafu.
estu sciate al vi cxiuj kaj al la tuta popolo izraela, ke en la nomo de jesuo kristo, la nazaretano, kiun vi krucumis, kiun dio levis el la mortintoj, cxi tiu staras sana antaux vi.
naye akawajibu, "mambo gani?" wao wakamjibu, "mambo yaliyompata yesu wa nazareti. yeye alikuwa nabii mwenye uwezo wa kutenda na kufundisha mbele ya mungu na mbele ya watu wote.
kaj li diris al ili:kion? kaj ili diris al li:pri jesuo, la nazaretano, kiu estis profeto potenca age kaj parole antaux dio kaj la tuta popolo;